Leo nmekula sahan mbili za wali maharage samak na kisamvu

Leo nmekula sahan mbili za wali maharage samak na kisamvu

Unakuna nazi jikoni,ukitoka unaenda mkunia kitandani,jitahidi mdogo wangu lazima asichomoke,napoleone hamisha majeshi fasta
Hahah,nipo mbion,..wazigua wanajuaga vyote vyote
 
Abembeleze kwa kuwa ndoa ni yake pekee?
Nanyi kwa kujikuta tu hamjambo, hapo ajitoee akupikie ugali weeee afu umuache kwenye mataa si bora abebe take away teh tena asitoe hela utoe wewe
Siwez mfanyia hvyo,..mi najielewa skuhiz..
Ila akiendelea na mentality hyo,kwamba hafany majukum yake kisa anahis ntabeba mwingne,yaan aweke mguu nje mguu ndan,itakula kwake,maana dushe hua hali exhaust,ila papuch Yes.
 
Siwez mfanyia hvyo,..mi najielewa skuhiz..
Ila akiendelea na mentality hyo,kwamba hafany majukum yake kisa anahis ntabeba mwingne,yaan aweke mguu nje mguu ndan,itakula kwake,maana dushe hua hali exhaust,ila papuch Yes.
Majukumu kivipi wakati sio mkeo huyo???
Kusuuza tu rungu basi unahisi una haki ya kupikiwa n.k shemeji oa kwanza
 
Hii combination ni shidaaaa!!!!!

Wakuu,mnajua ubachela ni mzigo,..kuna baadh ya vyakula sili tena et,..na ikitokea nikavibabatiza mahal hua nachanganyikiwa kabsaaaaa

Leo kuna kona moja hiv mitaa ya diamond jubilee jamaa yangu alinambia pana msos mzur,.si pasaf sana kwakwel,..ila kiukwel sjawai kula chakula kama kile,kiukweli...misos kama ile nkiendaga nyumban ndio mama yangu hua anapika napata ile taste,.

Ila sio dem /madem/mchepuko wangu ama mwanamke yoyote aliwai pika nkala msos ka ule,..kiukwel yule mama anaepika pale leo kanifanya nione kua kuna umuhimu wa kwakwel kuchagua mwenza wa ndoa ambae yuko vzur jikon,

Nmekula had watu wakawa wananiangalia mara mbil mbil.maana baada ya sahan ya kwanza,nkamaliza nkaagiza nyingne

Vyakula vya kiofis ofis havina ladha,halaf unawai shiba mapema sjui kwanin.
Jaman mim napenda sana maharage,samak,kisamvu na ubwabwa.daaah,..aww na mchuziiii

Samahanin kwa uzi wa kijinga,ila nmeona nishee furaha yangu na wakuu
 
Majukumu kivipi wakati sio mkeo huyo???
Kusuuza tu rungu basi unahisi una haki ya kupikiwa n.k shemeji oa kwanza
Yaan anakuja kwangu,jiko lipo n kila kitu provided,anashindwa pika mkuu et sabab tu sjamuoa,kiukwel kama ndo hvyo bas hamtend hak..kiukwel
 
Iswe kwe wapanga, ko tima mamdege na ma ntonga gegela kupya.

Hahahahahhaa banaaaa..... achaaaa aaahhh eehehehehehehheheheheheee

Kineheee....!!! waamilemoo...!!! aahahahahaa
 
Igunga na Cape Town zimekutana kwenye huu uzi.Ngoja niendelee kuxoma comment.
 
Wakuu,mnajua ubachela ni mzigo,..kuna baadh ya vyakula sili tena et,..na ikitokea nikavibabatiza mahal hua nachanganyikiwa kabsaaaaa

Leo kuna kona moja hiv mitaa ya diamond jubilee jamaa yangu alinambia pana msos mzur,.si pasaf sana kwakwel,..ila kiukwel sjawai kula chakula kama kile,kiukweli...misos kama ile nkiendaga nyumban ndio mama yangu hua anapika napata ile taste,.

Ila sio dem /madem/mchepuko wangu ama mwanamke yoyote aliwai pika nkala msos ka ule,..kiukwel yule mama anaepika pale leo kanifanya nione kua kuna umuhimu wa kwakwel kuchagua mwenza wa ndoa ambae yuko vzur jikon,

Nmekula had watu wakawa wananiangalia mara mbil mbil.maana baada ya sahan ya kwanza,nkamaliza nkaagiza nyingne

Vyakula vya kiofis ofis havina ladha,halaf unawai shiba mapema sjui kwanin.
Jaman mim napenda sana maharage,samak,kisamvu na ubwabwa.daaah,..aww na mchuziiii

Samahanin kwa uzi wa kijinga,ila nmeona nishee furaha yangu na wakuu
Usku wa leo utajamba sana
 
Wakuu,mnajua ubachela ni mzigo,..kuna baadh ya vyakula sili tena et,..na ikitokea nikavibabatiza mahal hua nachanganyikiwa kabsaaaaa

Leo kuna kona moja hiv mitaa ya diamond jubilee jamaa yangu alinambia pana msos mzur,.si pasaf sana kwakwel,..ila kiukwel sjawai kula chakula kama kile,kiukweli...misos kama ile nkiendaga nyumban ndio mama yangu hua anapika napata ile taste,.

Ila sio dem /madem/mchepuko wangu ama mwanamke yoyote aliwai pika nkala msos ka ule,..kiukwel yule mama anaepika pale leo kanifanya nione kua kuna umuhimu wa kwakwel kuchagua mwenza wa ndoa ambae yuko vzur jikon,

Nmekula had watu wakawa wananiangalia mara mbil mbil.maana baada ya sahan ya kwanza,nkamaliza nkaagiza nyingne

Vyakula vya kiofis ofis havina ladha,halaf unawai shiba mapema sjui kwanin.
Jaman mim napenda sana maharage,samak,kisamvu na ubwabwa.daaah,..aww na mchuziiii

Samahanin kwa uzi wa kijinga,ila nmeona nishee furaha yangu na wakuu
Picha Tafadhali [emoji15] wengine bila picha hatuelewagi [emoji4]
 
Wakuu,mnajua ubachela ni mzigo,..kuna baadh ya vyakula sili tena et,..na ikitokea nikavibabatiza mahal hua nachanganyikiwa kabsaaaaa

Leo kuna kona moja hiv mitaa ya diamond jubilee jamaa yangu alinambia pana msos mzur,.si pasaf sana kwakwel,..ila kiukwel sjawai kula chakula kama kile,kiukweli...misos kama ile nkiendaga nyumban ndio mama yangu hua anapika napata ile taste,.

Ila sio dem /madem/mchepuko wangu ama mwanamke yoyote aliwai pika nkala msos ka ule,..kiukwel yule mama anaepika pale leo kanifanya nione kua kuna umuhimu wa kwakwel kuchagua mwenza wa ndoa ambae yuko vzur jikon,

Nmekula had watu wakawa wananiangalia mara mbil mbil.maana baada ya sahan ya kwanza,nkamaliza nkaagiza nyingne

Vyakula vya kiofis ofis havina ladha,halaf unawai shiba mapema sjui kwanin.
Jaman mim napenda sana maharage,samak,kisamvu na ubwabwa.daaah,..aww na mchuziiii

Samahanin kwa uzi wa kijinga,ila nmeona nishee furaha yangu na wakuu
Siamini mpk nikuone ukifukia maana utakuwa na tumbo kama fisi!
 
Back
Top Bottom