Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Basi sawaAnanena kwa lugha si rahisi kumwelewa labda Uwe Mtu wa kiroho zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi sawaAnanena kwa lugha si rahisi kumwelewa labda Uwe Mtu wa kiroho zaidi.
Jamaa haeleweki alichoandikaIf you khow you khow
Leo RAJA wanapiga mtu kama ngoma kwa mkapa
Pamoja na vichezaji wa bure vya simba leo wanaenda kuaibishwa sana
Natanguliza pole kwa mashabiki wa Simba
Raja sio NAMUNGO
Umeongea pumba..Simba ya msimu huu siyo ya kuiwekea dhamana. Maana mbele ni butu, katikati hapaeleweki! Nyuma nako ni tia maji tia maji!!
Yaani watabebwa na hamasa ya mashabiki wao watakao washangilia. ila siyo kwa uwezo wa wachezaji.
Huu nii mtazamo wangu. Hivyo siyo lazima ufanane na mawazo yako.Umeongea pumba..
pelekeni mitazamo yenu huko kwny timu yenu iliyopigwa 2 kwa 0....Huu nii mtazamo wangu. Hivyo siyo lazima ufanane na mawazo yako.
Yanga ni bonge la timu, katikat na mbele ni hatarii balaa muulize mtunisia tulimpiga juzi 2 bila, na sis tupo ligi ya mabingwa simba wapo shirikisho kwa ma loserSimba ya msimu huu siyo ya kuiwekea dhamana. Maana mbele ni butu, katikati hapaeleweki! Nyuma nako ni tia maji tia maji!!
Yaani watabebwa na hamasa ya mashabiki wao watakao washangilia. ila siyo kwa uwezo wa wachezaji.
Yanga na simba baba yao mmoja. Hata wao pia timu yao inacheza mpira wa kutabirika. Hivyo usifikiri labda naiponda simba, na kuitetea Yanga.Yanga ni bonge la timu, katikat na mbele ni hatarii balaa muulize mtunisia tulimpiga juzi 2 bila, na sis tupo ligi ya mabingwa simba wapo shirikisho kwa ma loser
Tp mazembe kesho tunapiga za kutosha
Haya mambo ya kupangiana maisha humu jukwaani yameanza lini?pelekeni mitazamo yenu huko kwny timu yenu iliyopigwa 2 kwa 0....
Inategemea na somoDarasani ulikuwaga huelewi?