Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Tungemsikia Kishki akisema tumemsameheAliomba msamaha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tungemsikia Kishki akisema tumemsameheAliomba msamaha!
Kishki baada ya kutamka maneno yale aliomba msamaha akidai alitamka kwa jazba akaomba asameheweAlbadiri ilisomwa na KISHKI ili afande Sele afe kabla ya ramadhani lakini bado anaendelea kudunda...
Mimi nilijua wakisoma hivyo wanamtafuta wanamtilia sumu....[emoji23][emoji23][emoji23]Inafikirisha sana
Ma-abdool wapo wanapepelea albadir zao bahahahahaNa afande alisema asipokufa anawashtaki hao masheikh
Wakati mwingine inabidi ucheke tu.Mtu kamtukana Mungu, wao wanaenda kumshitaki kwa Mungu. Inamaana Mungu hakusikia hayo matusi, au ndio wameamua kumfundisha nini cha kufanya? Ngoja tuwaachie wenyewe mambo yao
HahahaaNa afande alisema asipokufa anawashtaki hao masheikh
Hakika mkuuMungu hayupo hivo,tuonavyo wanaadamu ni tofauti na Mungu aonavyo.
Hana hasira za haraka kiivyo la sivyo dunia mpk sasa isingekua na kiumbe chochote
Duuuh, hapo kazi sasaNa afande alisema asipokufa anawashtaki hao masheikh
Mwenyezi Mungu katika vitabu vyote anakemea kwa ukali mabaya lakini mwisho anakwambia yeye ni Raheem yaani mpole ukitubu ni mwepesi wa kusamehe.Hakika mkuu
Hujui kuwa Bangi hata wachawi wanaiogopa??
Na wao kwani walitangaza kumsamehe?Aliomba msamaha!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na Afande alisema asipokufa anawashtaki hao masheikh
Aliomba msamaha kwa aliyemkosea,Mungu,na Mungu ametoa ahadi ya kumsamehe,yoyote anayemuomba msamaha.Tungemsikia kishki akisema tumemsamehe