Kwahiyo Kishki hajui dini?
KIFO NI AHADI.
Kusoma Al badri NI Jambo jingine na KUJIBIWA NI JAMBO JINGINE.
hapo hata kama haijajibiwa haimaanishi afande sele alikuwa sahihi.
Muda wake utafika
Albadiri ilisomwa na KISHKI ili afande Sele afe kabla ya Ramadhani lakini bado anaendelea kudunda.
Je, ni kweli Albadiri inaweza kuua mtu au ni hadithi tu? Kwenye uzoefu wako umeshawahi kusikia mtu kafa kwa albadiri. Tupe uzoefu wako.
Pia soma