Leo Samata kacheza ovyo kabsa toka nimfahamu

Leo Samata kacheza ovyo kabsa toka nimfahamu

Kamgomoli

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2018
Posts
1,896
Reaction score
4,058
Leo imekua mechi mbaya kabsa kwa Mbwana. Kila alichojaribu kufanya kiligoma. Sio kwamba alikabwa sana na opponents. Mara nyingi alikua anapoteza mpira peke kabisa. Sijui wengine mlivyomtazama.
 
yule Dogo huwa Ana kismati ila siyo player tishio Kama media za nyumbani zinavyo mpaisha
Leo imekua mechi mbaya kabsa kwa Mbwana. Kila alichojaribu kufanya kiligoma. Sio kwamba alikabwa sn na opponents. Mara nyingi alikua anapoteza mpira peke kabsa. Sjui wengine mlivyomtazama.
 
kuna wkt gemu linakataa,yani hata mpira haukai mguuni,gemu inakukataa kabisa
Hata ma pro wa ulaya huwa yanawakuta na wanafanyiwa sub anaenda nje
 
Kuna siku kila unalojaribu lina goma ndio yaliyo mkuta Samata na ndivyo mpira ulivyo. Kikubwa kwaleo Timu imecheza,imepambana Samata ni nguvu yetu/ngumiyetu ya kumaliza mchezo lakini mudawote wapinzani hawakuruhusu ngumi ile ipigwe.
 
Kabisa ...unajua mashabiki wa mpira wanadhani wachezaji ni maroboti na ni lazima wacheze 100% ...ila wapenzi wa mpira tunajua mchezaji ni binadamu kuna siku anaamka yuko kwenye fomu na siku nyingine hayuko kwenye fomu,
kuna wkt gemu linakataa,yani hata mpira haukai mguuni,gemu inakukataa kabisa
Hata ma pro wa ulaya huwa yanawakuta na wanafanyiwa sub anaenda nje
 
Baba laoooo sio kila siku utakuwa vizuri, ila afadhari ushindi tumepata na faida ya kagori ketu kamoko
 
Back
Top Bottom