Leo sasa ni Paredi la Ubingwa wa Yanga upo mitaa ipi kuliona Paredi la Mabingwa

Leo sasa ni Paredi la Ubingwa wa Yanga upo mitaa ipi kuliona Paredi la Mabingwa

Paredi la Leo la kishamba, watu wachache, watangazaji wamezubaa, hamasa za kukusanya watu hawakuzifanya. na ubunifu ni zero . Garama walizopotezea kwenyeakafara ya kiarabu ya kuchinja na kula nyama za kafara wangetumia kufanya ubunifu lingekues na mvuto
 
Kariakoo muda huu
Screenshot_20240526_124649_Gallery.jpg
 
Paredi la Leo la kishamba, watu wachache, watangazaji wamezubaa, hamasa za kukusanya watu hawakuzifanya. na ubunifu ni zero . Garama walizopotezea kwenyeakafara ya kiarabu ya kuchinja na kula nyama za kafara wangetumia kufanya ubunifu lingekues na mvuto
Yanga sports club have made a milestone, how ever today they had a lot of things to do not please every Jim and jack enough to say congratulations to yanga for the championship
 
Back
Top Bottom