ibesa mau
JF-Expert Member
- Sep 17, 2015
- 2,109
- 1,697
Serikali kila siku inajidai ina fedha za kutosha, inakusanya mapato mengi kuliko serikali zote, Leo kimewakuta nini hadi kilio kila kona.
Ni nashauri tokeni hadharani muwaambie wananchi kwamba Yale mliyokuwa mnajimbwambafai kwa wananchi ilikuwa ni uongo na hadaa.
Wachumi walikuwa wanahoji kila siku, iweje uchumi wa nchi ukue halafu maisha ya watu na umaskini uzidi kuongezeka katika jamii.
Ukuaji wa uchumi ni lazima uwe direct proportional to improvement of social wellfair, lakini huu uchumi tunao hubiriwa ni ule unaokwenda kinyume na nadharia za kiuchumi.
Mabeberu wamefunga nut mbili tu vilio vimekuwa vingi, tusubiri watakapoongeza kufungwa nut ya tatu na kuendelea, hao wanao jimbwambafai mitaani vilio nitakuwa vingi.
Mimi nashauri tutulie tu nut zote ziishe ndio tuanze kutoleana matamko ya kuwataka watu kujieleza. Kwa sababu yanayokuja ni mengi na yanamaudhi.
Kabla hata ya Zitto hajajieleza bungeni, nut ya pili imefunguliwa, na tunasubiri matamko ya viongozi, hilo nalo litapita na litakuja jingine tena na tena.
Kwa sababu Marekani akishaanza kujiondoa usitegemee mataifa mengine makubwa ya nchi za ulaya yanaendelea kubaki na ikumbukwe kwamba hatuna uwezo wa kujiendesha bila kutegemea misaada, bajeti yetu zaidi ya 48% inategemea wahisani wa nje.
Ninachoomba tu Marekani asichomoe betri kwa kukataa kutoa misaada eneo la Afya hususani kwenye dawa za kufubaza virus ARV maana hali itakuwa mbaya zaidi.
Kwa mashirika mengi ya Ulaya ndio yanayotusaidia hususan katika suala afya, mashirika kama EGPA, UKAIDS, USAIDS, Boresha Afya, Marie Stopes n.k hakuna mashirika ya kichina wala India yanayotusaidiia katika suala la afya, hao ni wafanyabiashara waliofika kutafuta fedha.
Atleast tumepata pa kuanzia kuhusiana na vifo na mateso ya baadhi ya wapendwa wetu.
Huyu aliyetajwa na FBI kuhusika katika matukio mbalimbali ya kutesa na kukandamiza haki za watu, ndio tuanzie hapo hapo kwa kumtaka atueleze walipo wale waliopotea na wahusika wa matukio ya utesaji.
Tukumbushane kauli ya Freeman Mbowe Mwenyekiti wa Chadema Taifa " kesho yetu ni nzuri kuliko jana".
Hili la Makonda limetia nchi dosari, kwa kipindi cha miaka 50 tumeishi vizuri bila scandals.Watu wanaojifanya kwenda makanisani kila siku, wanajifanya kulia kwenye madhabau ya Mungu hadi kama si zinatoka puani wakitoka hapo wanaenda kutesa na kuua watu.
Nategemea makanisa ya kilokole (kipentekoste) kutoa tamko kwamba makonda si muumini wao, amelichafua Kanisa la Mungu.
Ni nashauri tokeni hadharani muwaambie wananchi kwamba Yale mliyokuwa mnajimbwambafai kwa wananchi ilikuwa ni uongo na hadaa.
Wachumi walikuwa wanahoji kila siku, iweje uchumi wa nchi ukue halafu maisha ya watu na umaskini uzidi kuongezeka katika jamii.
Ukuaji wa uchumi ni lazima uwe direct proportional to improvement of social wellfair, lakini huu uchumi tunao hubiriwa ni ule unaokwenda kinyume na nadharia za kiuchumi.
Mabeberu wamefunga nut mbili tu vilio vimekuwa vingi, tusubiri watakapoongeza kufungwa nut ya tatu na kuendelea, hao wanao jimbwambafai mitaani vilio nitakuwa vingi.
Mimi nashauri tutulie tu nut zote ziishe ndio tuanze kutoleana matamko ya kuwataka watu kujieleza. Kwa sababu yanayokuja ni mengi na yanamaudhi.
Kabla hata ya Zitto hajajieleza bungeni, nut ya pili imefunguliwa, na tunasubiri matamko ya viongozi, hilo nalo litapita na litakuja jingine tena na tena.
Kwa sababu Marekani akishaanza kujiondoa usitegemee mataifa mengine makubwa ya nchi za ulaya yanaendelea kubaki na ikumbukwe kwamba hatuna uwezo wa kujiendesha bila kutegemea misaada, bajeti yetu zaidi ya 48% inategemea wahisani wa nje.
Ninachoomba tu Marekani asichomoe betri kwa kukataa kutoa misaada eneo la Afya hususani kwenye dawa za kufubaza virus ARV maana hali itakuwa mbaya zaidi.
Kwa mashirika mengi ya Ulaya ndio yanayotusaidia hususan katika suala afya, mashirika kama EGPA, UKAIDS, USAIDS, Boresha Afya, Marie Stopes n.k hakuna mashirika ya kichina wala India yanayotusaidiia katika suala la afya, hao ni wafanyabiashara waliofika kutafuta fedha.
Atleast tumepata pa kuanzia kuhusiana na vifo na mateso ya baadhi ya wapendwa wetu.
Huyu aliyetajwa na FBI kuhusika katika matukio mbalimbali ya kutesa na kukandamiza haki za watu, ndio tuanzie hapo hapo kwa kumtaka atueleze walipo wale waliopotea na wahusika wa matukio ya utesaji.
Tukumbushane kauli ya Freeman Mbowe Mwenyekiti wa Chadema Taifa " kesho yetu ni nzuri kuliko jana".
Hili la Makonda limetia nchi dosari, kwa kipindi cha miaka 50 tumeishi vizuri bila scandals.Watu wanaojifanya kwenda makanisani kila siku, wanajifanya kulia kwenye madhabau ya Mungu hadi kama si zinatoka puani wakitoka hapo wanaenda kutesa na kuua watu.
Nategemea makanisa ya kilokole (kipentekoste) kutoa tamko kwamba makonda si muumini wao, amelichafua Kanisa la Mungu.