Leo siku ya baba Duniani unajivunia nini kwa Baba yako?

Hongera sana watunze sana wazaziwako
 
Alinisomesha akahakikisha napata kazi nzuri Mungu amrehemu huko aliko naamini yuko Na watakatifu.
 
Alinifunza heshima,bidii na nidhamu
NB; mzee alinifundisha kuweka serious face kwenye mambo yanayohitaji kuweka seriousness
 
Sijui hata niseme nini, anyways hongereni sana washua wote,pia kwa mliopata bahati hata ya kulelewa na baba zenu mshukuruni sana Mungu.

Kitu pekee ninachojivunia kutoka kwake ni kwamba alisababisha nikazaliwa,hayo mengineyo sikubahatika kuyapata hata kwa uchache tu kwasababu Mungu alimpenda mapema zaidi.
Ila,naamini nitakua Baba bora sana.
 
Vingi vingi Sanaa......
Ila kimoja wapo ni kutusomesha wakati baba Yake yeye hakuwahi kumsomesha walau darasa Moja na SI kwamba hakua na uwezo huo ila............

Mwenyezi Mungu azidi kumbariki na kumuongezea pale tulipopunguza inshAllah...🀲
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…