Leo Simba akijitahidi ni sare, kipigo kimetawala sana hapa Dodoma

Leo Simba akijitahidi ni sare, kipigo kimetawala sana hapa Dodoma

Simba iliyokuwa inampiga mtu saba za nguvu, leo ndiyo wa kupiga kimoja tu tena kwa msaada wa vumbi la kongo?
 
Kocha mbrazil mi nampa matches 3 tu kuanzia leo. Nlisema kuwa hapa Simba walijisahau kuwa wapo Africa tena Tanzania. Kumleta kocha Mzungu wakati kuna Waswahili walishakaa na Team.

Leo hawa Mbwa wanaenda chezea kichapo. Si wanajifanya wao hawaamini ushirikina wana team nzuri? Dodoma Mji inaenda kuwalamba. Ndo wataanza kutafutana. Yaani wakijitahidi sana ni draw.

Mtaalamj wetu ameshaitwa aende kuwasadia Dodoma Jiji na ameenda mapema tu leo kuweka mazingara sawa. Sioni Simba wakishinda. Sioni.kila napotizama sioni wanamshindia wapi Ankoli ami angu toka Pemba ambaye amepelekwa jana Dodoma na leo ameshafanya yake.

YANGA ASIPOCHUKUA UBINGWA MWAKA HUU NIITWE MBWA DUME NIMEKAA PALE 👉
Kachambue matembele
 
Hujui soka mnaongeaga ushabiki wa kijinga jinga tu,mpira haupo hivyo
 
Kocha mbrazil mi nampa matches 3 tu kuanzia leo. Nlisema kuwa hapa Simba walijisahau kuwa wapo Africa tena Tanzania. Kumleta kocha Mzungu wakati kuna Waswahili walishakaa na Team.

Leo hawa Mbwa wanaenda chezea kichapo. Si wanajifanya wao hawaamini ushirikina wana team nzuri? Dodoma Mji inaenda kuwalamba. Ndo wataanza kutafutana. Yaani wakijitahidi sana ni draw.

Mtaalamj wetu ameshaitwa aende kuwasadia Dodoma Jiji na ameenda mapema tu leo kuweka mazingara sawa. Sioni Simba wakishinda. Sioni.kila napotizama sioni wanamshindia wapi Ankoli ami angu toka Pemba ambaye amepelekwa jana Dodoma na leo ameshafanya yake.

YANGA ASIPOCHUKUA UBINGWA MWAKA HUU NIITWE MBWA DUME NIMEKAA PALE 👉
Halafu matokeo ya Simba pale Dodoma yakawaje mwishoni?
 
Kocha mbrazil mi nampa matches 3 tu kuanzia leo. Nlisema kuwa hapa Simba walijisahau kuwa wapo Africa tena Tanzania. Kumleta kocha Mzungu wakati kuna Waswahili walishakaa na Team.

Leo hawa Mbwa wanaenda chezea kichapo. Si wanajifanya wao hawaamini ushirikina wana team nzuri? Dodoma Mji inaenda kuwalamba. Ndo wataanza kutafutana. Yaani wakijitahidi sana ni draw.

Mtaalamj wetu ameshaitwa aende kuwasadia Dodoma Jiji na ameenda mapema tu leo kuweka mazingara sawa. Sioni Simba wakishinda. Sioni.kila napotizama sioni wanamshindia wapi Ankoli ami angu toka Pemba ambaye amepelekwa jana Dodoma na leo ameshafanya yake.

YANGA ASIPOCHUKUA UBINGWA MWAKA HUU NIITWE MBWA DUME NIMEKAA PALE [emoji117]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lile goli halikua kwa mbinde ila la survival of the fittest..
Simba are the survivors
 
Back
Top Bottom