Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ya saa 1:00 usiku umeiona wapi? Hakuna ilipowekwa huo muda. Mechi ni saa 10:00 jioniGame saa ngapi?maana Azam wanatupa timing mbili tofauti,,, kuna ratiba inayoonyesha game ni saa 10.00 jioni na kuna saa 1.00 usiku.
Unataja wachezaji au wakata viuno?Aisee nimeona list ya Simba leo wamewasha injini zote.
Chama.
Sakho.
Morisone.
Kanoute.
Bwalya.
Tulia uone mziki kazi ndo inaanza sasa.Unataja wachezaji au wakata viuno?
Wakata viuno, wasuka nywele, na wapaka rangi nywele wapo DRC ya Bongo (Uto FC)Unataja wachezaji au wakata viuno?
Wasiposhinda magoli mengi leo basi nitaamini kweli Simba safari hii hawana kitu. Maana wamewaweka watu wote ambao wanaaminika na mashabiki wa Simba kuwa wanauwezo mkubwaAisee nimeona list ya Simba leo wamewasha injini zote.
Chama.
Sakho.
Morisone.
Kanoute.
Bwalya.
kwii,,,kwii,,kwii.Wakata viuno, wasuka nywele, na wapaka rangi nywele wapo DRC ya Bongo (Uto FC)
kweli kabisa.Wasiposhinda magoli mengi leo basi nitaamini kweli Simba safari hii hawana kitu. Maana wamewaweka watu wote ambao wanaaminika na mashabiki wa Simba kuwa wanauwezo mkubwa
Kwamba INJINI za Simba🤣🤣🤣🤣🤣Aisee nimeona list ya Simba leo wamewasha injini zote.
Chama.
Sakho.
Morisone.
Kanoute.
Bwalya.
Tangazo linapita channel azam sports 1 hd...wameweka mechi zote hadi za fa..Hiyo ya saa 1:00 usiku umeiona wapi? Hakuna ilipowekwa huo muda. Mechi ni saa 10:00 jioni
ChamasonAisee nimeona list ya Simba leo wamewasha injini zote.
Chama.
Sakho.
Morisone.
Kanoute.
Bwalya.
Nuksi mnakuja kwa fujo na nuksi zenu.Chamason
Sakhoson
Kanouteson
Morrison
Bwalyason
Mshindwe wenyewe.
Hao nuksi ndo kina Nani Mkuu? Wewe NAWATAFUNASON wa kuniita Mimi Nuksi kweli?Nuksi mnakuja kwa fujo na nuksi zenu.
nawaambia hivi Simba gari lishawaka akuna mechi tutaacha kuchukua point tatu.
Simba nguvu moja.