Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasimba wote msiwe na wasiwasi leo huyu kagera sugar hasira zetu zote tunaenda kummalizia yeye, kosa lao Uwanja wao kuwa mzuri ndio kitachowacost
Hahahaha injini hahahahaAisee nimeona list ya Simba leo wamewasha injini zote.
Chama.
Sakho.
Morisone.
Kanoute.
Bwalya.
[emoji3][emoji3][emoji1787]Unataja wachezaji au wakata viuno?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nuksi mnakuja kwa fujo na nuksi zenu.
nawaambia hivi Simba gari lishawaka kuanzia hii mechi ya leo akuna mechi tutaacha kuchukua point tatu.
Simba nguvu moja.
Thimba nguvu sodaNuksi mnakuja kwa fujo na nuksi zenu.
nawaambia hivi Simba gari lishawaka kuanzia hii mechi ya leo akuna mechi tutaacha kuchukua point tatu.
Simba nguvu moja.
Injini wahuni zenji waliweka chumviAisee nimeona list ya Simba leo wamewasha injini zote.
Chama.
Sakho.
Morisone.
Kanoute.
Bwalya.
Kweli mziki.....maana mmepiga mauno ya kutoshaTulia uone mziki kazi ndo inaanza sasa.
kifurushi chenu kinakata muda si mrefu,mmebakisha mechi mbili tu muanze kulia na kusaga meno.
Nuksi mnakuja kwa fujo na nuksi zenu.
nawaambia hivi Simba gari lishawaka kuanzia hii mechi ya leo akuna mechi tutaacha kuchukua point tatu.
Simba nguvu moja.
Nguvu moja bila..........gari mnaweka mafuta ya vidumu wahuni wamechanganya na majiNuksi mnakuja kwa fujo na nuksi zenu.
nawaambia hivi Simba gari lishawaka kuanzia hii mechi ya leo akuna mechi tutaacha kuchukua point tatu.
Simba nguvu moja.
Noma sanaAisee nimeona list ya Simba leo wamewasha injini zote.
Chama.
Sakho.
Morisone.
Kanoute.
Bwalya.
AiseeNuksi mnakuja kwa fujo na nuksi zenu.
nawaambia hivi Simba gari lishawaka kuanzia hii mechi ya leo akuna mechi tutaacha kuchukua point tatu.
Simba nguvu moja.
Baada ya kupigwa katereroKweli mziki.....maana mmepiga mauno ya kutosha
Sawa[emoji1666]Wanasimba wote msiwe na wasiwasi leo huyu kagera sugar hasira zetu zote tunaenda kummalizia yeye, kosa lao Uwanja wao kuwa mzuri ndio kitachowacost