Leo STUNTER Ninatongoza LIVE mkishuhudia

Jaribu nione kama unaweza au ni porojo tu
 
Honey, nakuahidi kukupenda hapa duniani, na kama kuna maisha baada ya kifo basi nitakupenda
pia, wewe ndio kilakitu kwangu, nakupenda leo,
kesho na milele yoote
na hao uliwaambia kama mimi na ukawamwaga ilkuaje..au ndo unasubiri maisha baada ya kifo ukaendeleze upendo...

anyways naaminije kama kweli unanipenda?
 
na hao uliwaambia kama mimi na ukawamwaga ilkuaje..au ndo unasubiri maisha baada ya kifo ukaendeleze upendo...

anyways naaminije kama kweli unanipenda?
Kwanza kupenda sio swali, ivo siihitaji jibu kutoka
kwako, nnachotaka ni kukudhihirishia ni namna
gani nakupenda na nakuhitaji, cuz thamani yako
siwezi kuilinganisha na kitu chochote kile, wewe
ndio sababu mpaka sasa nahema,
Then kiss me my love scorpio me , nataka nikuoneshe kitu
 
mesy Hustahili kuwa na washenzi wasiojua thamani yako, mimi ndie mwanaume pekee mwenye
nidhamu na penzi lako, na ili kukuhakikishia hilo
jaribu kuniruhusu nikuonyeshe kwa vitendo,
manake mimi naamini kwenye matendo kuliko
maneno sweetie
Mbwembwe zoote zile kumbe maneno yenyewe ndo yale yale ya mwaka 47 ??!! Nothing is new
 
Waiter Zungusha Wine kwa wawili hawa

STUNTER naona Very Soon Mtt aneelekea Kibra
 
mpaka sasa wanawake wote wamekimbia wanaogopa... Sasa naomba nighairishe zoezi
Tumekupandisha na kukushusha na sana sana tumekunyali, hakuna neno jipya yote ndo yale yale tumlishayasikia, nikajua labda unatongoza kivingine kumbee ......[emoji19] kule kule kupotezeana muda
 
mmh ina mana bila mimi hutahema tena??

(nikiwa nimekunja mikono tumboni) me sikuchum..we kama unataka kunambia hicho kitu nambie tu...
 
Hahahahaa Asije kuji Tarime I see maana bado tunamkumbuka Yule kijana Fredy Barua ya Mapenz
Ebu mchungulie wifi yako huko mnakoita pm ulete mrejesho kama yupo....
 
Mimi ni kidume cha mbegu ninayejiamini,
Sasa nasemaje Kama kuna demu yoyote humu ambae anajiamini kwamba anaweza kuikwepa mishale ya voko zangu
basi ajitokeze tu.
Alafu wengine pigeni kimya kama kafa shoga
.....IGWEEEEEEEEEE HUO NDO HUKU NDO KUJIAMINI KWA MEN SASA.... mm nakodo kodoa sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…