Leo taifa linaenda kupata aibu

Leo taifa linaenda kupata aibu

Serikali Jana Imepata Burdani Boll Itembee, Pira Samba Loketo, Pira Biriani
Vyumba Tu Jana Taifa Limetulia Tuli.



Leo Sasa Mtani Najua Pira Mihogo, Pasi Temeke Mpira Unakwenda Kuangukia Majohe
Ila Pamoja Na Pira Mihogo, Pira Sukari Na Ugali Leteni Ushindi
Kama wala chips na njiwa mmepata ushindi wa goli saba,je wananchi situtashinda goli 11 leo.,🤔
 
Inakwenda kupigwa mechi ya kiume na sio mechi ya kike kike kama ya jana, unamfunga horoya unatamba mji mzima, Mechi ni leo na mwarabu atapigwa tu atake asitake, inapotaja timu yenye kikosi bora Tanzania ni yanga, unapotaja timu yenye benchi bora la ufundi Tanzania ni yanga, Sasa waarabu watatokea mlango gani labda tuambie pamoja na ubora wao
Haya unaongellea Tanzania na sio Afrika, anyway kila la heri
 
Kama wala chips na njiwa mmepata ushindi wa goli saba,je wananchi situtashinda goli 11 leo.,🤔
Kuleni Sukari Na Ugali Mwingi Viwanda Vyote Hivi
Mtibwa Sugar
Kilombero Sugar
Kagera Sugar
TPC Sugar
Bagamoyo Sugar
Mbigiri Sugar
 
Baaada ya jana Mnyama mfalme wa nyika mwenye pori lake kuwatafuna na kuwavulumisha timu nguri ya Horoya kwa magori saba kwa nunge, na kuipa nchi sifa kedekede hatimae leo Taifa litapokea aibu toka kwa vyura wa Jangwani yaani Utopolo max

Sasa kwa siku ya leo ndugu watanzania na wapenzi wa mchezo wa mpira wa miguu kuna Timu kongwe inaenda kutuaibisha
Kama kuna mtu anabisha tukutane hapa hapa saa tatu usiku baada ya kufungwa na waarabu wenye hasira kali

Na hamtofuzu kwenda robo fainali maana mkienda lubumbashi mtarudi na aibu nyingine ya kufungia mwaka

Ila jana lilipigwa bori kashata miksa masotojo alafu yule chama Chelsea, Man U anacheza vizuri tu na hakuna wa kumuweka benchi

Mimi ni Shabiki wa Lunyasi!

View attachment 2557516
Badala ya hilo Taifa lako kuaibika, naona umeaibika wewe mwenyewe. Unajisikiaje kwa sasa? Watu wanaongoza kundi huko! Achilia mbali kufuzu hatua inayofuata.
 
Baaada ya jana Mnyama mfalme wa nyika mwenye pori lake kuwatafuna na kuwavulumisha timu nguri ya Horoya kwa magori saba kwa nunge, na kuipa nchi sifa kedekede hatimae leo Taifa litapokea aibu toka kwa vyura wa Jangwani yaani Utopolo max

Sasa kwa siku ya leo ndugu watanzania na wapenzi wa mchezo wa mpira wa miguu kuna Timu kongwe inaenda kutuaibisha
Kama kuna mtu anabisha tukutane hapa hapa saa tatu usiku baada ya kufungwa na waarabu wenye hasira kali

Na hamtofuzu kwenda robo fainali maana mkienda lubumbashi mtarudi na aibu nyingine ya kufungia mwaka

Ila jana lilipigwa bori kashata miksa masotojo alafu yule chama Chelsea, Man U anacheza vizuri tu na hakuna wa kumuweka benchi

Mimi ni Shabiki wa Lunyasi!

View attachment 2557516
Unateseka ukiwa wapi simba junia?
 
Amka wewe utakojoa kitandani
20230319_211627.jpg
 
Wameshazoea kukaa kileleni kwenye misismamo ya ligi na kauli yao ya DAIMA MBELE NYUMA MWIKO(Nyuma Mikia)!
 
Kuna timu ya hapa Bongo imetinga robo fainali kwa kishindo lakini mashabiki wake hawana furaha!

Watapigwa kama ngoma robo fainali!
 
Baaada ya jana Mnyama mfalme wa nyika mwenye pori lake kuwatafuna na kuwavulumisha timu nguri ya Horoya kwa magori saba kwa nunge, na kuipa nchi sifa kedekede hatimae leo Taifa litapokea aibu toka kwa vyura wa Jangwani yaani Utopolo max

Sasa kwa siku ya leo ndugu watanzania na wapenzi wa mchezo wa mpira wa miguu kuna Timu kongwe inaenda kutuaibisha
Kama kuna mtu anabisha tukutane hapa hapa saa tatu usiku baada ya kufungwa na waarabu wenye hasira kali

Na hamtofuzu kwenda robo fainali maana mkienda lubumbashi mtarudi na aibu nyingine ya kufungia mwaka

Ila jana lilipigwa bori kashata miksa masotojo alafu yule chama Chelsea, Man U anacheza vizuri tu na hakuna wa kumuweka benchi

Mimi ni Shabiki wa Lunyasi!

View attachment 2557516
Waanzisha nyuzi za kiwaki kama hizi wanapaswa wafukunyuliwe kikamilifu baada ya mechi ili akili ziwakae sawa.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Baaada ya jana Mnyama mfalme wa nyika mwenye pori lake kuwatafuna na kuwavulumisha timu nguri ya Horoya kwa magori saba kwa nunge, na kuipa nchi sifa kedekede hatimae leo Taifa litapokea aibu toka kwa vyura wa Jangwani yaani Utopolo max

Sasa kwa siku ya leo ndugu watanzania na wapenzi wa mchezo wa mpira wa miguu kuna Timu kongwe inaenda kutuaibisha
Kama kuna mtu anabisha tukutane hapa hapa saa tatu usiku baada ya kufungwa na waarabu wenye hasira kali

Na hamtofuzu kwenda robo fainali maana mkienda lubumbashi mtarudi na aibu nyingine ya kufungia mwaka

Ila jana lilipigwa bori kashata miksa masotojo alafu yule chama Chelsea, Man U anacheza vizuri tu na hakuna wa kumuweka benchi

Mimi ni Shabiki wa Lunyasi!

View attachment 2557516
Aibu ipi?
 
Baaada ya jana Mnyama mfalme wa nyika mwenye pori lake kuwatafuna na kuwavulumisha timu nguri ya Horoya kwa magori saba kwa nunge, na kuipa nchi sifa kedekede hatimae leo Taifa litapokea aibu toka kwa vyura wa Jangwani yaani Utopolo max

Sasa kwa siku ya leo ndugu watanzania na wapenzi wa mchezo wa mpira wa miguu kuna Timu kongwe inaenda kutuaibisha
Kama kuna mtu anabisha tukutane hapa hapa saa tatu usiku baada ya kufungwa na waarabu wenye hasira kali

Na hamtofuzu kwenda robo fainali maana mkienda lubumbashi mtarudi na aibu nyingine ya kufungia mwaka

Ila jana lilipigwa bori kashata miksa masotojo alafu yule chama Chelsea, Man U anacheza vizuri tu na hakuna wa kumuweka benchi

Mimi ni Shabiki wa Lunyasi!

View attachment 2557516
Aibu kwako Sasa, unateseka ukiwa wapi?
 
Back
Top Bottom