Leo Taifa Stars anafungwa 1-0 na Lesotho

Leo Taifa Stars anafungwa 1-0 na Lesotho

Huyu mleta uzi huu nuksi tupu na utashindwa mwenyeweeee
Huyu ni mtu wa kamati ya ufundi wa timu moja maarufu sana hapa Daresalaam.
Huko anawalia pesa kwa kujifanya mganya wao.
a.k.a mpiga Ramuli.
Ngoja tu niseme ukweli
Anawapigia ramuli klabu ya Yanga.
Msamehe tu mkuu.
 
Habari zenu wanajamvi.

Leo ninapenda kuchukua nafasi kuwashukuru nyote kwa kuwa na imani na Timu ya Tanzania ya mpira wa miguu tangu hapo awali mpaka tamati yake hii Leo.

Licha ya kutambua wazi kuwa hatutafika popote kwenye michuano hii, bado mkaendelea kuamini kuwa "Kuku atameza Papai".

Leo ndio tunaenda kufunga pazia la michuano hii kwa upande wa timu yetu kwa kichapo cha "bao moja kwa nunge".

Naomba tuendelee kuwa pamoja na timu yetu hata kama tu najua kabisa kuwa tunaenda kufungwa. Maana hakuna namna pekee ya kuonyesha uzalendo zaidi ya kukubali hali halisi.

Iandaeni mioyo yenu maana Imeandikwa. "Mwana wa Adamu atashinda mechi chache za kwanza, siku ya pili atakula kichapo na siku ya tatu atapaishwa na Lesotho" Taifa 4:2-0.

575a16ac4aa7085ec566e3dd5f81c875.jpg
Imekula kwako na utabiri wako kuntu.
 
Lesotho kieneo nikama mkoa wa Mara. Ni kamamkoa wa 17 kwa ukubwa Tanzania.

List of Tanzanian regions by area - Wikipedia

Geography of Lesotho - Wikipedia

Kwa wingi wa watu nchi nzima haifikii hata nusu ya watu wa Daresalaam. Ni kama idadiya watu wa wilaya ya Kinondoni tu.

Kufungwa na ki nchi hiki ni aibu.
Hivi mimi hua najiuliza vi nchi kama hiyo vinakuaje nchi? Kwahiyo wana mikoa na wilaya ee? Kunakua na mabasi ya mikoani na daladala ee? Hivi ki nchi kama hiyo si maendeleo faster tu. Yani inakua na jeshi ambalo wanaweza hata kutunishiana misuli na jwtz ee? Dah maajabu kweli, lkn nchi kama hiyo, kwa mfano mimi ndiye ningekua raisi, hakuna mtu angelipia huduma za ki jamii.
 
Lesotho kieneo nikama mkoa wa Mara. Ni kamamkoa wa 17 kwa ukubwa Tanzania.

List of Tanzanian regions by area - Wikipedia

Geography of Lesotho - Wikipedia

Kwa wingi wa watu nchi nzima haifikii hata nusu ya watu wa Daresalaam. Ni kama idadiya watu wa wilaya ya Kinondoni tu.

Kufungwa na ki nchi hiki ni aibu.
Kwani soka lingaaliwa kwa ukubwa wa nchi? Ndio maana kumbe watz hampigi hatua.

Unazifahamu nchi kubwa duniani kijiografia? Unazifahamu nchi zenye watu wengi zaidi duniani? Zinafanyaje kisoka?
 
mleta uzi naomba nikutukane kuwa ni mpumbavu wa uzalendo. ahsante
 
Hivi mimi hua najiuliza vi nchi kama hiyo vinakuaje nchi? Kwahiyo wana mikoa na wilaya ee? Kunakua na mabasi ya mikoani na daladala ee? Hivi ki nchi kama hiyo si maendeleo faster tu. Yani inakua na jeshi ambalo wanaweza hata kutunishiana misuli na jwtz ee? Dah maajabu kweli, lkn nchi kama hiyo, kwa mfano mimi ndiye ningekua raisi, hakuna mtu angelipia huduma za ki jamii.
Tatizonchi ndogo nzo zinakuwa na rasilimali chache, nguvukazi chache etc. Ukiwa na nchikuba hukosi almasisehemu, dhahabu sehemu, mito, makonde etc.

Huko hawana vingi
 
uzuri/ubaya kwenye historia itabaki tu kuwa TZ ilishinda dhidi ya Lesotho tarehe 7/7/2017
 
Kwani soka lingaaliwa kwa ukubwa wa nchi? Ndio maana kumbe watz hampigi hatua.

Unazifahamu nchi kubwa duniani kijiografia? Unazifahamu nchi zenye watu wengi zaidi duniani? Zinafanyaje kisoka?
Nimejibu hilo swali juu. Soma.
 
Mayanga jirekebishe acha kupenda wachezaji wa Mtibwa au waliocheza Mtibwa FC...Yule Mbonde si bora ungemchukua Ajibu na Abulrahman Musa..
 
Back
Top Bottom