Leo Taifa Stars anafungwa 2-0 na Zambia.

Leo Taifa Stars anafungwa 2-0 na Zambia.

Kwa gemu IPI Zambia walioonyesha ##historia tu zinawabeba Leo vijana kama kawa 2-1 lazma wakae Tanzania mbele
Nakunya hapa mpaka Zambia huku nikitambaa.
 
Ngekewa na bahati na sibu za timu ya Taifa ya Tanzania inatarajiwa kufika kikomo hapo leo nchini South Africa.

Timu hiyo inayojinasibu kutokupokea kichapo tangu kuanza kwa Michuano hiyo ya CECAFA. Itaingia dimbani Leo saa 12 jioni ikimenyana na Taifa la Zambia ambalo limeonekana kujaa vipaji vya hali ya juu kabisa kwenye michuano hiyo.

Ukizingatia ukali wa safu ya ushambulizi ya Zambia yenye ufanisi wa kufunga kwa asilimia 81%, sioni namna ambayo safu ya ulinzi ya Tanzania iliyosheheni vijana wasio na weledi kuweza kuwazuia hawa watu.

Mpaka mchezo unakwishwa natarajia kuona Matokeo yanayoipa tiketi Zambia ya kushiriki fainali hizo.
FT: Zambia 2 - 0 Tanzania.

Kuwa mzalendo maana yake kuwa tayari kuyapokea na kuyanena yale ambayo Moyo hauko tayari kuyanena.
samahani eti everton wanakuja lini na kiingilio kwenye mechi hiyo ni sh ngapi pls nijibu ndugu yangu
 
Huo ni uchambuzi, ubashiri au ramli?

Mpira huwa hauna njia za mkato kama unavyotuaminisha, na matokeo yake huwa ni dkk 90

Nampongeza Mayanga na kikosi chake kwa kugangamala hadi sasa hata kama timu haiko kwenye ubora mkubwa lakini si ya kuchukuliwa poa. Rekodi ya kutopoteza mechi 7 mfululizo si mchezo, Mart Noiij aliondoka kwenye mechi za COSAFA bila kufunga hata goli la offside!

Kocha wetu Mkwasa alitupatia kipigo cha aibu tangu 'dunia' ya Tanzania iumbwe, huyu Salum Mayanga kwao hawa wote ni zaidi ya bouncer. Anastahili heshima.
 
Taifa stars nusu fainali COSAFA ni sawa na tembo juu ya mti
4434bae26e2a7477c39ebceca2b53058.jpg

Hujui alivyofika lakini unajua atadondoka
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha
 
Back
Top Bottom