Leo Taifa Stars anafungwa 2-0 na Zambia.

Zambia iliyochukua Kombe la Africa ilijalishwa hapa hapa.wakiwa na Kalaba,stopila ,katongo na hakukuwa na timu mzuri kama hii. Naona tunawatoa Hawa
 
Tayar Zambia kashaliwa moko.twende sasa chama langu
 
Toa utabiri mwingine 2-0 ishafeli
 
Kwani wewe mganga wa kienyeji!
 
Kwa gemu IPI Zambia walioonyesha ##historia tu zinawabeba Leo vijana kama kawa 2-1 lazma wakae Tanzania mbele
HALF-TIME RESULT.

[emoji23][emoji23][emoji121]
 
HalfTime Results:

[emoji23][emoji23][emoji121]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…