Leo Tanesco itakuwa kuna intern kitengo cha switch ya kukata umeme. Wanakata kila baada ya nusu saa.

Leo Tanesco itakuwa kuna intern kitengo cha switch ya kukata umeme. Wanakata kila baada ya nusu saa.

Jana tumeshindwa kuona mpira maana kila baada ya dk 3 wanakata umeme ikabidi nizime tv tu
 
Huko maji sasa hivi mnapata??

Mara ya mwisho nimefika huko Lodge nzuri unakuta maji kwenye majaba.
Juma Aweso, Waziri wa maji ametokea mkata wilaya ya Pangani.
Mkata kakuna maji , je Chunya yatatokea wapi?

Mbunge wa Chunya na Lupa wasisahau kitu Dodoma 2025.
 
[emoji3][emoji3] Wilaya Ya Chunya-Mkoa wa Mbeya- ukatikaji wa Umeme limekuwa janga Kubwa sana Kwa kweli.
Mbaya zaidi, waathirika wakubwa ni wenye "Elution plants", Karasha (Crusher), na migodi ya dhahabu wanaotegemea Umeme kuendeshea shughuli zao. Kwa hiyo, Halmashauri ya Wilaya ya Chunya, na Serikali ya Tanzania kiujumla, mapato yanapungua Kwa kuwa uzalishaji wa madini unapungua sababu ya kukatikakatika Kwa Umeme kila wakati (Umeme usio wa uhakika).
Umeme Wilaya ya Chunya ni sawa na anasa Kwa Sasa.

Umeme kufika Chunya kutoka Mbeya mjini ni Kms 72 ambapo ndipo sub station iliko.

Tunaomba ijengwe sub station ya umeme Matundasi , Chunya ili kumsaidia Saza, makongorosi, Chunya na Songwe.
 
Back
Top Bottom