[emoji3][emoji3] Wilaya Ya Chunya-Mkoa wa Mbeya- ukatikaji wa Umeme limekuwa janga Kubwa sana Kwa kweli.
Mbaya zaidi, waathirika wakubwa ni wenye "Elution plants", Karasha (Crusher), na migodi ya dhahabu wanaotegemea Umeme kuendeshea shughuli zao. Kwa hiyo, Halmashauri ya Wilaya ya Chunya, na Serikali ya Tanzania kiujumla, mapato yanapungua Kwa kuwa uzalishaji wa madini unapungua sababu ya kukatikakatika Kwa Umeme kila wakati (Umeme usio wa uhakika).