Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sie tunaenda kumuabudu Mungu na hapo hapo tunapitisha maombi yetu.Na nyie kila siku mara tano mnaenda kuomba nini msichojibiwa kazi kusuguwa uso tu
Mashetani wapo wengi mkuu hayupo mmoja😂😂😂😂Kila siku wanaenda kumuangamiza shetani huyohuyo miaka 2000+ sasa
Vipi na wale wanaokwenda kumpiga mawe shetani na kulizunguka jiwe na migorolo yao bila nguo ya ndaniKila siku wanaenda kumuangamiza shetani huyohuyo miaka 2000+ sasa
WAcha mukwala mkuu ,n jambo la kufikilikaUnatafuta kiki?
Ili swali tumekuachia wewe paroco😂😂😂😆😆😆😆😆😆
au hakufaa!!?
Ukichanga moto,mimi natoa nguna nashiba alafu fresh🤒🤒🤒Una changamoto.Vaa nguo.Usitoke nje kichele ukidhani bado giza.
Ilo nalo n tatizo mzee mwenzangu😞Kuna kanisa mmoja maarufu Kimara Temboni kila wiki wanateketeza matatizo Sugu yaliyo shindikana kwa watu wale wale 🥴
😂😂🏃🏼♂️🏃🏼♂️Kila siku wanaenda kumuangamiza shetani huyohuyo miaka 2000+ sasa
Unatafuta kiki?WAcha mukwala mkuu ,n jambo la kufikilika
Wanapanda ndege kwenda kumpiga mawe.Vipi wale wanaokwenda kumpiga shetani mawe.
Dah🙄Mungu mwenyewe alimshindwa akaamua amtupie huku chini tulipo ili kukwepa zahma