Sie tunaenda kumuabudu Mungu na hapo hapo tunapitisha maombi yetu.Na nyie kila siku mara tano mnaenda kuomba nini msichojibiwa kazi kusuguwa uso tu
Mashetani wapo wengi mkuu hayupo mmojaππππKila siku wanaenda kumuangamiza shetani huyohuyo miaka 2000+ sasa
Vipi na wale wanaokwenda kumpiga mawe shetani na kulizunguka jiwe na migorolo yao bila nguo ya ndaniKila siku wanaenda kumuangamiza shetani huyohuyo miaka 2000+ sasa
WAcha mukwala mkuu ,n jambo la kufikilikaUnatafuta kiki?
Ili swali tumekuachia wewe parocoπππππππππ
au hakufaa!!?
Ukichanga moto,mimi natoa nguna nashiba alafu freshπ€π€π€Una changamoto.Vaa nguo.Usitoke nje kichele ukidhani bado giza.
Ilo nalo n tatizo mzee mwenzanguπKuna kanisa mmoja maarufu Kimara Temboni kila wiki wanateketeza matatizo Sugu yaliyo shindikana kwa watu wale wale π₯΄
ππππΌββοΈππΌββοΈKila siku wanaenda kumuangamiza shetani huyohuyo miaka 2000+ sasa
Unatafuta kiki?WAcha mukwala mkuu ,n jambo la kufikilika
Wanapanda ndege kwenda kumpiga mawe.Vipi wale wanaokwenda kumpiga shetani mawe.
DahπMungu mwenyewe alimshindwa akaamua amtupie huku chini tulipo ili kukwepa zahma