Una hamu Happycuit nyoosha maelezo usaidiwe😂Hebu leo tufanye hii challenge kwa wote mnaosema kuwa urafiki kati ya mwanaume na mwanamke upo...mtumie msg best friend wako muambie
"kwanini mpaka leo hatujawahi kuwa katika mahusiano ya kimapenzi"
Halafu tupe mrejesho wa screenshot
Kafunga PM??
Una hamu Happycuit nyoosha maelezo usaidiwe[emoji23]
Hayuko serious na challenge yakeKafunga aisee
Mimi au mleta uzi😂Kijana wa hovyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mleta uzi ana hamu lkn anapiga kona aseme asaidiwe😂ila we jamaa dah 😂😂😂😂😂🙌
ndo mfanye kumsaidia sasa kama mmeshabaini tatizo 😅😅, ila wewe hapana 😂😂Mleta uzi ana hamu lkn anapiga kona aseme asaidiwe😂
mbona iko wazi 😊Leejay fungua pm nikutumie ujumbe
Nauli juu yake lkn chakula na malazi atapata😂ndo mfanye kumsaidia sasa kama mmeshabaini tatizo 😅😅, ila wewe hapana 😂😂
Acha uhuni Pisikalimbona iko wazi 😊
Njoo piem tuchangamshane next week wiki ya mshaharaKwani kuna ubaya gani na hapa tukichangamsha jukwaa????
aisee 🤦♀️Nauli juu yake lkn chakula na malazi atapata😂
Mbingu utaiona kwenye katuni..... hahahahaha
😊😅😂😂😂Acha uhuni Pisikali
Ovulation sio poa mdogo wangu😂Hebu leo tufanye hii challenge kwa wote mnaosema kuwa urafiki kati ya mwanaume na mwanamke upo, mtumie msg best friend wako muambie "kwanini mpaka leo hatujawahi kuwa katika mahusiano ya kimapenzi"
Halafu tupe mrejesho wa screenshot.