Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Posts zangu huzioni eeKabisa yan ila tunasubiri ya kwako pia
Hata akikujibu Nikon pale nimekaaKwani si ni mchezo tu...
Ya kwangu tena!! Weeeh mie sina rafiki wa kiume 🤣🤣🤣🤣Kabisa yan ila tunasubiri ya kwako pia
Ukiona hivyo wewe sio best angu,maana best zangu nishawajibu
Sijui kwa nini ila nimejikuta nacheka tu 🤣🤣Ngoja niongee na wakili wangu kwanza.....[emoji125][emoji125][emoji125]
Ngoja nikae kimya[emoji41]
Nmeishiwa nguvuAisee!! Anajua orodha yako yote
Najua unacheka na vingiSijui kwa nini ila nimejikuta nacheka tu [emoji1787][emoji1787]
Anijibu kwanza ile postWeka screen shot bwana, acha kuruka ruka.
Kumbe wewe ndio mwenye shida🤣🤣Anijibu kwanza ile post
Zitoke wapi?Kumbe wewe ndio mwenye shida🤣🤣
Fungua PM nina ujumbe wako best wanguNi kamchezo tu jamani