Unai Emery
Member
- Nov 19, 2019
- 79
- 62
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna vitu huwa haviitaji utani et.Kwani si mchezo tu 😂😂😂 au wengine ndio mtapitia humo kwa humo ganda la ndizi,wakaka mna shida zenu nyingi
Hatukuombei🤣🤣🤣Zitoke wapi?
Ni dhambi ninazo jmn niombeeni
Hapo ulipo uko kimtego😂😂Kwani si mchezo tu 😂😂😂 au wengine ndio mtapitia humo kwa humo ganda la ndizi,wakaka mna shida zenu nyingi
Mkwe, mwanangu ana taarifa?
Hapana, hatumiwi.Mwanao naye si atakuwa anatumiwa meseji za michezo kama hizi...
Woi kwanza mwenye dhambi kama wewe hata ukiombea ndio kwanza unaongeza giza😂😂Hatukuombei🤣🤣🤣
Mie sina dhambi we mtoto.Woi kwanza mwenye dhambi kama hata ukiombea ndio kwanza unaongeza giza😂😂
Kama mimi ni mtoto basi kumbe sina dhambi..ole wenu wakubwa🤣🤣🤣Mie sina dhambi we mtoto.
Wewe si utume?Nyie watu huu mchezo mmeambiwa muwatumie "marafiki zenu". Haya tuneni screenshots sasa.
We ni mtoto na umejaa dhambi🤣🤣Kama mimi ni mtoto basi kumbe sina dhambi..ole wenu wakubwa🤣🤣🤣
Sina rafiki wa kiume mimi.Wewe si utume?
Muongo mkubwa...imeandikwa....Waacheni watoto wadogo waje kwangu masna ufalme wa Mungu ni wao.We ni mtoto na umejaa dhambi🤣🤣
Jambazi la kike wewe🤣🤣Sina rafiki wa kiume mimi.
Mwanangu, wenye dhambi wakikushawishi, Wewe usikubali.Nyie watu huu mchezo mmeambiwa muwatumie "marafiki zenu". Haya tumeni screenshots sasa.
Mwanangu, wenye dhambi wakikushawishi, Wewe usikubali.Sina rafiki wa kiume mimi.
Watoto wadogo, sio wewe.Muongo mkubwa...imeandikwa....Waacheni watoto wadogo waje kwangu masna ufalme wa Mungu ni wao.
🤣🤣🤣🤣🤣Jambazi la kike wewe🤣🤣