Lupamba's grandson
JF-Expert Member
- Jan 9, 2015
- 1,232
- 1,196
- Thread starter
-
- #221
Dah ungevuta vuta mpka pasaka iishe maana nilikuwa nategemea kwako jirani ata pilauJamani mwenzenu nishakamilisha ujenzi wa kibanda changu huko chanika hivo mwezi ujao nahamia kwanguView attachment 1734209
Hahahahaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nadhani leo bwana ake atakuwa ajarudi au atakuwa kasafiri embu ngoja tusubiri subiriLeo mama Hamis hapigwi au hayupo maana siyo kawaida mpk sasa hatusikii kilio
@Kasie naomba nije kukuogeshaNimehama nyumba nne tofauti, zote wapangaji wenzangu wananilalamikia hivyohivyo....[emoji28][emoji28][emoji28]
View attachment 1735036
View attachment 1735037
View attachment 1735038
View attachment 1735039
Sasa hivi naogea kwenye pipa chumbani kwangu [emoji12].
" wewe ni bwana wa majeshi... tikaboboboboo tika! Ra masanto ri mamamama tika, achia..achia nguvu za giza...yesu wangu bwana wa majeshi.."
Sent using Jamii Forums mobile app
nilijua tu lazima uingize mada ya ulajiππ.Mi sijapika labda muulize mama Amina.Njoo ulichukue basi jirani mie ndio nimeingia geto mda si mrefu yani nipo hoi af wala sijauona usiku yani. Vipi usharekebisha nipate hata kitonge sizi?
[emoji1][emoji1][emoji119][emoji119]Mkuu umekremu hadi maneno Hahaaa
Noma sana [emoji1][emoji1]Hahahahah walokole hao [emoji23][emoji23][emoji23]
Kakukazia akati yule jamaa ako mnaeshindaga pale kibanda cha kubet katoka kupewa mchezo juzi kati tu hapoMtoto Chakorii kicheche sana yani..Sema mie ananikaziaga kama gundu kmmmk jana tu kaja na baharia yule mwamba mwenye primio. Sema nini man Jafe, mi ntaishi nae tu ngoja leo nikamuombe movie rum kwake.
ππ alifuata nini huko chumbani kwako na kichanuo?@Joanah njoo chumbani kwangu financial services alikiacha uku kwangu ,njoo chukua
Amini kwamba Joh, yani weekend hii aikatizi lazma nikadibe kitaa cha Coco pale. Naisi nna gundu kama la million 6 hivi.Kakukazia akati yule jamaa ako mnaeshindaga pale kibanda cha kubet katoka kupewa mchezo juzi kati tu hapo
Una gundu kweli mzee
Enheee huyo huyo FideAmini kwamba Joh, yani weekend hii aikatizi lazma nikadibe kitaa cha Coco pale. Naisi nna gundu kama la million 6 hivi.
Aloo kumbe dogo Fide kashaiwekea mtambo!Kweli mtt chakori nux ila ntaishi nae yule aiko mukinga.
Jana kanipiga punch ujue, nilikuwa rum kwake mishale mikali sema dah kisicho riziki bana...roho inauma π kinoma akati Fide mchimba chumvi tu mtoto wa Malinyi Ulanga kaishona mapema tu.Enheee huyo huyo Fide
Tena unaambiwa alimuita ghetto kiulaini tu akapewa tunda