[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tena chupi lenyewe Lina mauawakinadada na kina mama, mwenye chupi lake bafuni akaanue lishakauka siku ya nne hii....
Hiyo tabia ya kuchukua kitu moja kwa moja alikuwa nayo pia yule dada Chakorii wa chumba cha pili,siku hizi akija kuomba kitu huwa simpiJoanah nenda chumbani kwa financial services mwambie dada anataka chanuo kwa nini kila akichukua harudishi?
Jamani jirani una gubu na chanuo lako bado nalitumiaa😀😀Joanah nenda chumbani kwa financial services mwambie dada anataka chanuo kwa nini kila akichukua harudishi?
Hata huyu inabidi tumfungie vioo maana kazidi sasaHiyo tabia ya kuchukua kitu moja kwa moja alikuwa nayo pia yule dada Chakorii wa chumba cha pili,siku hizi akija kuomba kitu huwa simpi
Hebu nilifuate hilo chanuo kwa financial services
Bwana wee nunua lako tumekuchokaJamani jirani una gubu na chanuo lako bado nalitumiaa😀😀
😀😀😀 msinisumbue kwanza chanuo lenyewe hata halichani vizuri, afu soon nanunua langu mtakuja kuazima pia😀Hiyo tabia ya kuchukua kitu moja kwa moja alikuwa nayo pia yule dada Chakorii wa chumba cha pili,siku hizi akija kuomba kitu huwa simpi
Hebu nilifuate hilo chanuo kwa financial services
Gongo mm sinywi nakunywa kimpumu"jamani eeeh... kuna gongo hapa anayetaka aje tuburudike, baridi itawauwa"
Eeeh kwanza chanuo lenyewe bayaa! Basi tu natumia hivo hivo ila soon nanunua langu mtanikoma na hako kajoahna🤪Bwana wee nunua lako tumekuchoka
Kila siku unabadilisha jirani wewe kha😀
Hii hapa inaitwa 'Fucker be fucked' starling ni Jacson statham ila dj wetu ni yule MKALIMANIJamani naombeni series iliyotafsiriwa kwa kiswahili
Hata huyu inabidi tumfungie vioo maana kazidi sasa
Wewe tushakuzoea😀😀😀 msinisumbue kwanza chanuo lenyewe hata halichani vizuri, afu soon nanunua langu mtakuja kuazima pia😀
Wewe tushakuzoea
Sababu ya kidomo domo chako hakuna hata mpangaji mmoja unayeongea nae tofauti na sisi
Na sisi tukiamua kukufungia vioo utaishi kama bubu humu ndani