Leo tufanye kama tunaishi majirani nyumba za kupanga

Leo tufanye kama tunaishi majirani nyumba za kupanga

Nyie wapangaji wa kiume mbona mnabadilisha sana wanawake

Ndio maana huwa sipendi wapangaji ambao hawana familia hapa kwangu kwa nini usitafute mwanamke mmoja ukatulia nae

Mkataba wenu kila mmoja ukiisha siwahitaji hapa kwangu
mwenye nyumba nna ofa yako jioni upige hata bia 3
..


uko freee??

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Hiyo tabia ya kuchukua kitu moja kwa moja alikuwa nayo pia yule dada Chakorii wa chumba cha pili,siku hizi akija kuomba kitu huwa simpi

Hebu nilifuate hilo chanuo kwa financial services
Joanah wangu,kwa ninavyoujua huu ulimi wangu 😅😅😅amini I siamini nikiamua kuutumia effectively huchomoi lazima unipe😅😅

Halafu mambo gani haya ya kuaibishana umeyaanza...mbona wewe unapikaga ugali mboga unategemea kwangu!au unafikiri nimekusahau eee😅😅


Mzima lkni kipenzi...umekuwa adimu sana now days
 
Back
Top Bottom