The MaskmaN
JF-Expert Member
- Sep 28, 2017
- 350
- 764
mwenye nyumba nna ofa yako jioni upige hata bia 3Nyie wapangaji wa kiume mbona mnabadilisha sana wanawake
Ndio maana huwa sipendi wapangaji ambao hawana familia hapa kwangu kwa nini usitafute mwanamke mmoja ukatulia nae
Mkataba wenu kila mmoja ukiisha siwahitaji hapa kwangu
[emoji23][emoji23][emoji23]Mm mwenyewe nimeingia nikaliona kimba nikajua labda jini liliingia kumbe ni jingalao
[emoji23][emoji23][emoji23]Mama ally ukimaliza kupika moto usizime,nataka nipashe kiporo changu cha " ubwabwa na malage".
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaaaaaa...We chikumbalanga " chukua bakuli nenda KWA mamaa mudi atuongezee unga wa kukazia ugali fanya harakaaa"
Joanah wangu,kwa ninavyoujua huu ulimi wangu π π π amini I siamini nikiamua kuutumia effectively huchomoi lazima unipeπ πHiyo tabia ya kuchukua kitu moja kwa moja alikuwa nayo pia yule dada Chakorii wa chumba cha pili,siku hizi akija kuomba kitu huwa simpi
Hebu nilifuate hilo chanuo kwa financial services
ongea vzr na Mshana Jr ππππππ£π£π£ndukiiiYaani leo sijalala, mapaka yanalia tu dirishani kwangu, lol
Da'VinciJamaa wa chumba cha pili ana jasho kali yani akikupitia kama ASKARI WA HERODI
halafu ni kubwa kinoma, unaweza tumia kama blanket... jana niliwaambia hawakusikia..."aliyesahau chupi lake bafuni akaitoe jamani"