Miaka
nane
Lengo LA swali lako ni nini?Walikuwa wananyonyaje
[emoji23][emoji23][emoji23] nataka nijueLengo LA swali lako ni nini?
Kwa kuwa nia yako nikujua. Tukutape nikuoneshe[emoji23][emoji23][emoji23] nataka nijue
[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]Kwa kuwa nia yako nikujua. Tukutape nikuoneshe
Nakusubili hapa.[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
Uko wapi?Nakusubili hapa.
Mimi mwanaume wa mikoaniUko wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23] mbona nakuona kama wa DarMimi mwanaume wa mikoani
Habari Wakuu
Leo Nimeona Nikumbushie Enzi Za popobawa Aliyekua Anadaiwa Ni Kiumbe Wa ajabu Anayewaingilia Waru Kinyume Na Maumbilee Mbaya Zaidi Usipotangaza Eti Anakurudia Tena Yaani Ukitaka asije Unakaa Macho Unapiga Makelel Na mnalala kwa Makundii.
Basi Ipo Hivi Nilisikiaga Redion Wakiongelea Huyu Kiumbee Niliogopa Saaana, Mbaya zaidi Walikua Wanadai Anapita Mtaa Kwa mtaaa
Siku Moja Usiku Kuogopa Kuingiliwa Nikavaa Jinzi Zangu Mbili Nikachukua Kisu na Sufuria Ili Likija Napambana Huku Full maombiii Na Kushituka Shituka Usiku.
Siku Nyingine Ilikua Ni uSiku Nilikua naumwa Na Inatakiwa Saa 7 Niamke Ninywe Dawa . Siku Hiyo Kuogopa Kuingiliwa Nikavaa Sket Ya Dada Na Wigii Nikalala Huku naomba Bahat Mbaya Mvua Ilikua Inanyesha Na Radii za Maaana , Nikiwa Nimelala Usiku Saa Saaba Mzee akaja Kuniamshaaa Sasa Kawa ananipigapiga Kweny T.ako Bila Kuongea Kituu Mimi Si Nikajua Enheeee Ndo Kumekucha Sasa popobawa kaja Nilijikausha Huku Nikitokwa na Machozii . Asubuh Naamka Nalia tuuu Wat Wananishangaa Nimevaa Sketii Nikawambia Mm sitaman Tena Kuishii Popo kanibaka Nikaliaaa Na kuwasimulia Tukio Zima Aiseee Nilichekwa saaana Mzee ndo akanambia ni yeye Alikuja Kuniamshaa.
Mengine muongezee
Haahahah. Mimi siwezi kuwa wa dar. Nipo shamba najiandaa kuvuna pamba.[emoji23][emoji23][emoji23] mbona nakuona kama wa Dar
Haya mwanaume wa mkoaniHaahahah. Mimi siwezi kuwa wa dar. Nipo shamba najiandaa kuvuna pamba.
Wasalimie huko wa mikoaniHaya mwanaume wa mkoani
Popobawa alikuwa msimu wa joto tu.Habari Wakuu
Leo Nimeona Nikumbushie Enzi Za popobawa Aliyekua Anadaiwa Ni Kiumbe Wa ajabu Anayewaingilia Waru Kinyume Na Maumbilee Mbaya Zaidi Usipotangaza Eti Anakurudia Tena Yaani Ukitaka asije Unakaa Macho Unapiga Makelel Na mnalala kwa Makundii.
Basi Ipo Hivi Nilisikiaga Redion Wakiongelea Huyu Kiumbee Niliogopa Saaana, Mbaya zaidi Walikua Wanadai Anapita Mtaa Kwa mtaaa
Siku Moja Usiku Kuogopa Kuingiliwa Nikavaa Jinzi Zangu Mbili Nikachukua Kisu na Sufuria Ili Likija Napambana Huku Full maombiii Na Kushituka Shituka Usiku.
Siku Nyingine Ilikua Ni uSiku Nilikua naumwa Na Inatakiwa Saa 7 Niamke Ninywe Dawa . Siku Hiyo Kuogopa Kuingiliwa Nikavaa Sket Ya Dada Na Wigii Nikalala Huku naomba Bahat Mbaya Mvua Ilikua Inanyesha Na Radii za Maaana , Nikiwa Nimelala Usiku Saa Saaba Mzee akaja Kuniamshaaa Sasa Kawa ananipigapiga Kweny T.ako Bila Kuongea Kituu Mimi Si Nikajua Enheeee Ndo Kumekucha Sasa popobawa kaja Nilijikausha Huku Nikitokwa na Machozii . Asubuh Naamka Nalia tuuu Wat Wananishangaa Nimevaa Sketii Nikawambia Mm sitaman Tena Kuishii Popo kanibaka Nikaliaaa Na kuwasimulia Tukio Zima Aiseee Nilichekwa saaana Mzee ndo akanambia ni yeye Alikuja Kuniamshaa.
Mengine muongezee
Shukran MkuuPopobawa alikuwa msimu wa joto tu.
Logic iko hivi, msimu wa joto watu wanatoka jasho, nyuchi zao zinakuwa mbichi kwa umande wa jasho, mitaro yao inaloeana jasho! Sasa watu bila kufikiri wakaamua kitafuta mchawi ma wengi wakaamini kuwa kuna lidubwasha linawalowanisha nyuma mtaroni kumbe ni hali ya hewa!
Hamnaga na hakijawahi kuwa na popobawa.
Mzee homa ya dengue is real and my friends are suffering right now.Two of them mmoja hali mbaya.Hayo waga ni maigizo tu ya CCM wakiona kuna kashfa ya ufisadi ngoja nitaje iyo list ya ujinga wao
1.Dengue fever .walikuwa wanaugua wasanii Tu
2.dr shika sijui sahivi yuko wapi?
3.Nabii Tito mwenye kujua alipoa asaivi aniambie
4.Babu wa loliondo pia ilikuwa na trick
Yapo mengi Sana bila kusahau sahivi tunachezeshwa ngoma ya piere Liquid ambae hajulikani hata alikotokea na sizani kama anandugu dunia hii[emoji23]