Norshad
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 5,211
- 12,538
boarding pia michezo hiyo ilikuwepo wengi wakaachwa wakiwa wasenge, maraia wanabandua afu wanasingiziwa vibwengo..madogo wanalala na chupi, kaptula, suruali ya kushindia, ya darasani, taulo na juu anajifunga kipande cha godoro afu popobawa frank akija anawaambia tulia tulia ukitikisika nakuchana kabisa na mk***u wenyewe afu anamshushia bonge la kofi, basi njuka analiwa kiulaini kisha anapakwa chili source....kesho anaamka mnyoonge....afu wangejua huyo mpuuzi anayewafanyia huo ujinga wangekapiga mpaka wangekaua ni kabwege kwelikweli.