Umesahau mchuna ngozi mkuuHiyo ya nyonya damu ... ilikuwa ni disaster
Hahahahah daah hatariiiiboarding pia michezo hiyo ilikuwepo wengi wakaachwa wakiwa wasenge, maraia wanabandua afu wanasingiziwa vibwengo..madogo wanalala na chupi, kaptula, suruali ya kushindia, ya darasani, taulo na juu anajifunga kipande cha godoro afu popobawa frank akija anawaambia tulia tulia ukitikisika nakuchana kabisa na mk***u wenyewe afu anamshushia bonge la kofi, basi njuka analiwa kiulaini kisha anapakwa chili source....kesho anaamka mnyoonge....afu wangejua huyo mpuuzi anayewafanyia huo ujinga wangekapiga mpaka wangekaua ni kabwege kwelikweli.
mmmmmhWanasema Ilikua Kusadikika
ivi unaweza danganya taifa zima?Ndivo inavodaiwa mkuu
kwa maslah gan sasa?Hapo sasa Mkuu....wanasiasa Wanaweza hio kaz
Basi lisemwalo lipo na lilitokea, haiwezekani mtu mzima na akiri zake pia na familia yake ajifedheheshe mbele ya umma kwa kujisema kuwa kaliwa jicho lake for nothing.. watoto wake watamuangalia kwa mtazamo gani, na itampa faida gani..?Sifaham
Kweli mkuu lisemwalo lipoBasi lisemwalo lipo na lilitokea, haiwezekani mtu mzima na akiri zake pia na familia yake ajifedheheshe mbele ya umma kwa kujisema kuwa kaliwa jicho lake for nothing.. watoto wake watamuangalia kwa mtazamo gani, na itampa faida gani..?
[emoji23][emoji23] Popo bawa alikuwa yupo serious n hatar usipo wambia watu anarudi kwa mara nyngne Tena,, lakini sidhan Kama Kuna mtu alishawah kutokewa na hich ktu aseh,,Habari Wakuu
Leo Nimeona Nikumbushie Enzi Za popobawa Aliyekua Anadaiwa Ni Kiumbe Wa ajabu Anayewaingilia Waru Kinyume Na Maumbilee Mbaya Zaidi Usipotangaza Eti Anakurudia Tena Yaani Ukitaka asije Unakaa Macho Unapiga Makelel Na mnalala kwa Makundii.
Basi Ipo Hivi Nilisikiaga Redion Wakiongelea Huyu Kiumbee Niliogopa Saaana, Mbaya zaidi Walikua Wanadai Anapita Mtaa Kwa mtaaa
Siku Moja Usiku Kuogopa Kuingiliwa Nikavaa Jinzi Zangu Mbili Nikachukua Kisu na Sufuria Ili Likija Napambana Huku Full maombiii Na Kushituka Shituka Usiku.
Siku Nyingine Ilikua Ni uSiku Nilikua naumwa Na Inatakiwa Saa 7 Niamke Ninywe Dawa . Siku Hiyo Kuogopa Kuingiliwa Nikavaa Sket Ya Dada Na Wigii Nikalala Huku naomba Bahat Mbaya Mvua Ilikua Inanyesha Na Radii za Maaana , Nikiwa Nimelala Usiku Saa Saaba Mzee akaja Kuniamshaaa Sasa Kawa ananipigapiga Kweny T.ako Bila Kuongea Kituu Mimi Si Nikajua Enheeee Ndo Kumekucha Sasa popobawa kaja Nilijikausha Huku Nikitokwa na Machozii . Asubuh Naamka Nalia tuuu Wat Wananishangaa Nimevaa Sketii Nikawambia Mm sitaman Tena Kuishii Popo kanibaka Nikaliaaa Na kuwasimulia Tukio Zima Aiseee Nilichekwa saaana Mzee ndo akanambia ni yeye Alikuja Kuniamshaa.
Mengine muongezee
[emoji109]Kweli mkuu lisemwalo lipo
Kumbe ulikuwaga mfiraji?boarding pia michezo hiyo ilikuwepo wengi wakaachwa wakiwa wasenge, maraia wanabandua afu wanasingiziwa vibwengo..madogo wanalala na chupi, kaptula, suruali ya kushindia, ya darasani, taulo na juu anajifunga kipande cha godoro afu popobawa frank akija anawaambia tulia tulia ukitikisika nakuchana kabisa na mk***u wenyewe afu anamshushia bonge la kofi, basi njuka analiwa kiulaini kisha anapakwa chili source....kesho anaamka mnyoonge....afu wangejua huyo mpuuzi anayewafanyia huo ujinga wangekapiga mpaka wangekaua ni kabwege kwelikweli.