luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Unaambiwa mpaka ss ivi wachezaj 8 tu wa Gor ndio wapo ktk jiji la Berikane na mechi inakaribia kuanza majira ya saa 4 kumbuka walisafiri kwa makundi hawa Gor kundi la pili limekwama jijin Casablanca baada ya kukosa ndege ya ku connect mpaka jiji la Berikane ....
Wachezaj hawatukuwa physical fit maana watakuwa wamechoka baada ya safari ndegu toka kenya mpaka moroco then moroco to algeria
Ss leo wa kenya mjiandae kushika kapu kila mmoja na kapu lake la magoli maana leo ni kuchinjwaaaa
Wachezaj hawatukuwa physical fit maana watakuwa wamechoka baada ya safari ndegu toka kenya mpaka moroco then moroco to algeria
Ss leo wa kenya mjiandae kushika kapu kila mmoja na kapu lake la magoli maana leo ni kuchinjwaaaa