cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji39][emoji39]Nami nilizipika majuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji39][emoji39]Nami nilizipika majuzi
Naomba recipe ya hio juice kwenye jagiLeo niliji mwaga mapema sana saa nne nipo home
Njaa ikawa inauma dah kuagiza chakula naona uvivu hapa nikaamua kwenda kwenye friji kutafuta chochote kitu
View attachment 3218744
Nikanywa mtindi nikaona mayai ndio nikapata wazo la catress
View attachment 3218747
Nikaanza kuandaa viazi mbatata nikachemsha baada ya kuiva nikaanza kusaga viazi kama ugali
View attachment 3218749
Nilipo hakikisha vipo sawa nikaanda karoti hoho na kitunguu
View attachment 3218751
Nikaviacha nikchukua nyama ambayo nilichemsha nikaisaga vizuri na brenda
View attachment 3218752
Then nikachukua viazi ambavyo nimeviponda nika mix na viuongo vyangu
View attachment 3218753
Ndipo nikaanza kutengeneza mvilingo kupitia mikono katikati nika weka nyama ile ilio sagwa hakikisha mkono unapaka mafuta
View attachment 3218754
Na zilikuwa na muonekano uhu baada ya hapo
View attachment 3218755
Nikachukua mayai niliyo yakologa vizuri unatumbikiza viazi vyako
View attachment 3218756 Weka kimoja kimoja usiwe na haraka hapo njaa ishakata nikaona nimeshiba nikasema uhu ndio mlo wangu wa jioni
View attachment 3218757
Nika nimemaliza na hii inahitaji muda sana kupika hivi
View attachment 3218758
Sawa Half american
Embe na radha ya orangeNaomba recipe ya hio juice kwenye jagi
sijawahi kuzila ila nimewaza hivyo kwa kuziona tuNi tamu ila zinawah kukifu
You mean chungwa au ladha zile wanazoeka kwa cakeEmbe na radha ya orange
Ndio inaitwa nand nitakushow keshoYou mean chungwa au ladha zile wanazoeka kwa cake
Hiz ndiz za kuiva unazihifadh kwa muda gan kwenye frij bila kuharibikaNipo home namalizia matumda View attachment 3218904
Naomba usisahau mkuuu eeNdio inaitwa nand nitakushow kesho
Kisa tu napenda mtindi?🤣Ahahahah yaan hapo ndo napokushusha vyeo we jamaa seriously
Wiki sasa hii inaenda nachagua ngumu ngumu ambazo hazijaiva sanaHiz ndiz za kuiva unazihifadh kwa muda gan kwenye frij bila kuharibika
Ondoa shakaNaomba usisahau mkuuu ee
Je papaiWiki sasa hii inaenda nachagua ngumu ngumu ambazo hazijaiva sana
Papai pia ivyo ivyo na pia friji lina nguvu naona maana la mwanz nilikuwa nikiweka siku ya pili halifai kabisa kulikaJe papai
Unaset ubarid namba ngapiiPapai pia ivyo ivyo na pia friji lina nguvu naona maana la mwanz nilikuwa nikiweka siku ya pili halifai kabisa kulika
7 sabaUnaset ubarid namba ngapii
Inasemekana namba 7 uset kwa muda tu ili kumaintain compressor ya friji7 saba
Itabid nichangeInasemekana namba 7 uset kwa muda tu ili kumaintain compressor ya friji
Nawaambiaga watu ukiwa mvumilivu utapenda unachopika siku zote.Leo niliji mwaga mapema sana saa nne nipo home
Njaa ikawa inauma dah kuagiza chakula naona uvivu hapa nikaamua kwenda kwenye friji kutafuta chochote kitu
View attachment 3218744
Nikanywa mtindi nikaona mayai ndio nikapata wazo la catress
View attachment 3218747
Nikaanza kuandaa viazi mbatata nikachemsha baada ya kuiva nikaanza kusaga viazi kama ugali
View attachment 3218749
Nilipo hakikisha vipo sawa nikaanda karoti hoho na kitunguu
View attachment 3218751
Nikaviacha nikchukua nyama ambayo nilichemsha nikaisaga vizuri na brenda
View attachment 3218752
Then nikachukua viazi ambavyo nimeviponda nika mix na viuongo vyangu
View attachment 3218753
Ndipo nikaanza kutengeneza mvilingo kupitia mikono katikati nika weka nyama ile ilio sagwa hakikisha mkono unapaka mafuta
View attachment 3218754
Na zilikuwa na muonekano uhu baada ya hapo
View attachment 3218755
Nikachukua mayai niliyo yakologa vizuri unatumbikiza viazi vyako
View attachment 3218756 Weka kimoja kimoja usiwe na haraka hapo njaa ishakata nikaona nimeshiba nikasema uhu ndio mlo wangu wa jioni
View attachment 3218757
Nika nimemaliza na hii inahitaji muda sana kupika hivi
View attachment 3218758
Sawa Half american