Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tupo kwenye mapumziko mafupi kidogo.
Yote majibu.Unamaliza ubishi au umeanzisha ubishani?
duuh mkuu mbona unachunguza sana??Halafu mbona hao wote ambao mikono yao imeonekana wamevaa Pete ktk vidole viwili vya mwisho!?
Sent using Jamii Forums mobile app
mbona una stress sana mkuu?Ulikuja na uzi wa kumponda lavalava sasa hivi umekuja kuuliza nani mkali.....na ukishamjua je itakusaidia nini kwa mfano!!!?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] haya bhana.Quenn Darleen anajua sana ingawa hapo kwa list umempotezea.
-Ndumilakuwili-
Baada ya Diamond ni Harmonize...nazani hata CEO mwenyewe analijua hili that z y,anajitahidi sana kumbrand konde boy,ukizingatia ni reflection yake pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo maromboso hana muda mrefu pale WCB hafai kuwekwa kwa sasa.Kwa sasa:
1. DP
2. Rich
3. Harmo
4. Ray
5. Marombo
6. Queen
7. Lavalava