Leo tumalize ubishi; Ni msanii gani mkali kuliko wote pale WCB?

Baada ya Diamond ni Harmonize...nazani hata CEO mwenyewe analijua hili that z y,anajitahidi sana kumbrand konde boy,ukizingatia ni reflection yake pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihi sana ndomana hata kwenye mitandao ya kijamii harmonize anatukanwa sana tofauti na msanii yoyote wa wasafi...watanzania huwa tunawachukia waliotuzidi.
 
Huyo Lavalava sijui diamond alitumia kigezo kipi kwa msajili ndio flop hapo

Sent From My Nokia Ya Tochi
 
Alikiba ndo mkal[emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rayvany n kipaji maalum, msimfananishe na ujinga mwingine huo, yani ndio msanii anayeweza kuvaa viatu vya ngweir
 
Diamond ni no 1 no doubt, then tukija kwenye no mbili naomba nimjudge Mavoko kwa career yake ndani ya wcb maana nikimjudge nje ya wcb mpinzani wake atakuwa Diamond pekee, kwa wcb Mavoko anakalishwa na both kondeboy n' Rayvanny maana hajafanya kazi za maana sana, list yangu inakuwa hivi;

1. Diamond
2. Harmonize
3. Rayvanny
4. Mavoko
5. Queen Darlin
6. Lavalava

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…