Leo tumalize ubishi ni msanii gani wa rap anaweza fika hata nusu ya Fid Q

Leo tumalize ubishi ni msanii gani wa rap anaweza fika hata nusu ya Fid Q

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman iwe nannyi wakuu

Nataka leo tumalize ubishi mazee

Iv ni msanii gan wa rap yaan hip hop anaweza fikia hata nusu ya fidq kwa michano na mistar iliyoenda shule

Je kuna msanii mgumu kama fidq japo hata nusu yake tu


Kwa miaka ya nyuma kidogo msanii john makin alishindanishwa na huyu ngosha, je kwa sasa kuna mtu anaweza thubutu kweli kumfananisha fidq na john makin

Naomba tumalize huu ubishi mazee kama kuna msanii wa rap ambaye anaweza fika hata nusu ya fidq

LONDON BABY
 
Aman iwe nannyi wakuu

Nataka leo tumalize ubishi mazee

Iv ni msanii gan wa rap yaan hip hop anaweza fikia hata nusu ya fidq kwa michano na mistar iliyoenda shule

Je kuna msanii mgumu kama fidq japo hata nusu yake tu


Kwa miaka ya nyuma kidogo msanii john makin alishindanishwa na huyu ngosha, je kwa sasa kuna mtu anaweza thubutu kweli kumfananisha fidq na john makin

Naomba tumalize huu ubishi mazee kama kuna msanii wa rap ambaye anaweza fika hata nusu ya fidq

LONDON BABY
Mbona fid mchache sana kwa Stamina fid anakaa!!
 
SONGA.. NIKKI MBISHI, ONE The Incredible, na crew nzima ya Tamaduni muziki hawa jamaa hawafai ni vile wana bifu na media ya unyonyaji clouds ndo maana hawatoboi... nyimbo zao zmebaki kuwa MAKITABA ZA GETTO.

Cc: power, sifa ya uandishi, mahiri, na zingne nyingi skiliza.
 
Back
Top Bottom