hater or ignorant?A list with Wayne on it shouldn't be taken seriously
Kuna jamaa mmoja aliandika article akataja ma MC waliotawala mwaka kwa mwaka.Idea yakeilikuwa haina maana kuongelea GOAT, kuna waliotamba kwa wakati wao.There is a saying GOAT aka greatest of all time in every categories...it's not fair comparing KRS to NAS or TUPAC to KENDRICK each and every one had its impact on his generation...To come to a point I believe in each era there was a legend...1.Hashim dogo i salute 2.Terry of hardblasters 3.Sugu ..this cat is like a ice cube of rap game.... 4.JCB 5.ghetto ambassador 6.one incredible 7.solo thang and the list goes on and on...this for me are considered GOATS in Tanzania Rap game
yeah i guess nimetumia neno zito kidogo G.O.A.T ila kuna kale kamsemo respect your OLD G yaani ela hii inatabia ya kukuza sana kizazi chao na kusahau vichwa vilivyowafikisha hapo...all in all mi ni ERA ya kina MwanaFA,Langa, Ila piga UA bado mr 2 namweka levo za peke yake.....namwona kwa mbaali lionel richieKuna jamaa mmoja aliandika article akataja ma MC waliotawala mwaka kwa mwaka.Idea yakeilikuwa haina maana kuongelea GOAT, kuna waliotamba kwa wakati wao.
Ila nilikuwa namuangalia LL Cool J jamna katunukiwa award ya achievement Kennedy Center.
That's a first for a rapper.
Opinion | The Trump-Less Kennedy Center Honors
Mangwea ni mtu wa style tu..kitu alikuwa Mangwea,, RIP
huyo alikuwa hapwai kabisa
Ni wazi kwamba we utakuwa mtoto wa kikeHamna msanii wa hip hop bongo anamfikia fid q kwa chunusi.
Tuma salam.Ni wazi kwamba we utakuwa mtoto wa kike
....mtoto wa kiume huwez zungumzia chunusi za mwanaume mwenzako.
Mkuu sikusema anamzid Fid, ila nmejibu swali la mtoa mada kwamba 'msanii yupi anafikia hata nusu ya Fid' Stamina kweli anapita hyo nusu na kama hukubali basi utakuwa na chuki binafsiHuyo asiyejua tofauti ya L na R kwenye mashairi yake?
Labda amemzidi Fid kwa kua na kibiongo
Ni perception mkuu mimi nawajua waliomzidi hao wa nusu siwajui mfano joh makin,prof jay,afande sele (hata yeye alikiri) ,mr sugu ,ngwear etcAman iwe nannyi wakuu
Nataka leo tumalize ubishi mazee
Iv ni msanii gan wa rap yaan hip hop anaweza fikia hata nusu ya fidq kwa michano na mistar iliyoenda shule
Je kuna msanii mgumu kama fidq japo hata nusu yake tu
Kwa miaka ya nyuma kidogo msanii john makin alishindanishwa na huyu ngosha, je kwa sasa kuna mtu anaweza thubutu kweli kumfananisha fidq na john makin
Naomba tumalize huu ubishi mazee kama kuna msanii wa rap ambaye anaweza fika hata nusu ya fidq
LONDON BABY
Utakuwa mdogo wake na MusibaMbona fid mchache sana kwa Stamina fid anakaa!!
beira boy usibishane na uyo fal* ajui maana ya hiphop,hawa ndo ma aslay queen [HASHTAG]#shubaamit[/HASHTAG]!Kwahiyo hapa nitakuwa nimeanzisha ubishi?
Hakuna kitu kama hichoRoho saba