Leo tumalize ubishi ni msanii gani wa rap anaweza fika hata nusu ya Fid Q

Leo tumalize ubishi ni msanii gani wa rap anaweza fika hata nusu ya Fid Q

A list with Wayne on it shouldn't be taken seriously
hater or ignorant?
The Carter series discography bridge a gap between old and new hip hop.for hater he said

Man, I got Summer hating on me cause I’m hotter then the Sun
Got Spring hating on me cause I ain’t never sprung
Winter hating on me cause I’m colder than ya’ll
And I would never, I would never, I would never Fall
I’m being hated by the seasons
So https://jamii.app/JFUserGuide ya’ll who hating for no reason
 
There is a saying GOAT aka greatest of all time in every categories...it's not fair comparing KRS to NAS or TUPAC to KENDRICK each and every one had its impact on his generation...To come to a point I believe in each era there was a legend...1.Hashim dogo i salute 2.Terry of hardblasters 3.Sugu ..this cat is like a ice cube of rap game.... 4.JCB 5.ghetto ambassador 6.one incredible 7.solo thang and the list goes on and on...this for me are considered GOATS in Tanzania Rap game
Kuna jamaa mmoja aliandika article akataja ma MC waliotawala mwaka kwa mwaka.Idea yakeilikuwa haina maana kuongelea GOAT, kuna waliotamba kwa wakati wao.

Ila nilikuwa namuangalia LL Cool J jamna katunukiwa award ya achievement Kennedy Center.

That's a first for a rapper.

Opinion | The Trump-Less Kennedy Center Honors

merlin_130880900_bd34516c-dd3b-43b4-b988-4b7aaff6774b-master768.jpg
 
Kuna jamaa mmoja aliandika article akataja ma MC waliotawala mwaka kwa mwaka.Idea yakeilikuwa haina maana kuongelea GOAT, kuna waliotamba kwa wakati wao.

Ila nilikuwa namuangalia LL Cool J jamna katunukiwa award ya achievement Kennedy Center.

That's a first for a rapper.

Opinion | The Trump-Less Kennedy Center Honors

merlin_130880900_bd34516c-dd3b-43b4-b988-4b7aaff6774b-master768.jpg
yeah i guess nimetumia neno zito kidogo G.O.A.T ila kuna kale kamsemo respect your OLD G yaani ela hii inatabia ya kukuza sana kizazi chao na kusahau vichwa vilivyowafikisha hapo...all in all mi ni ERA ya kina MwanaFA,Langa, Ila piga UA bado mr 2 namweka levo za peke yake.....namwona kwa mbaali lionel richie
Lionel Richie
 
Mimi huwa nasema.
0. Prof-

1. Fid -
2. JCB-Mbwa
3. Nikk mbishi
4. One the
5. Afande-solo
...
...
...

Laiti nikkmbishi angeacha stress..

Nikk ni moja ya wasanii wachache wenye uwasanii wa karibia kila msaani ndani yake na alikuwa bora kwangu. Ana u prof J ndani yake angalia "sauti ya jogoo". Anau fid q ndani yake angalia "Punchline".


Kuna watu walisikika kwa Muda mfupi kama Dogo Hashim na Father nelly siwezi kuwaongelea.
 
Huyo asiyejua tofauti ya L na R kwenye mashairi yake?
Labda amemzidi Fid kwa kua na kibiongo
Mkuu sikusema anamzid Fid, ila nmejibu swali la mtoa mada kwamba 'msanii yupi anafikia hata nusu ya Fid' Stamina kweli anapita hyo nusu na kama hukubali basi utakuwa na chuki binafsi
 
Aman iwe nannyi wakuu

Nataka leo tumalize ubishi mazee

Iv ni msanii gan wa rap yaan hip hop anaweza fikia hata nusu ya fidq kwa michano na mistar iliyoenda shule

Je kuna msanii mgumu kama fidq japo hata nusu yake tu


Kwa miaka ya nyuma kidogo msanii john makin alishindanishwa na huyu ngosha, je kwa sasa kuna mtu anaweza thubutu kweli kumfananisha fidq na john makin

Naomba tumalize huu ubishi mazee kama kuna msanii wa rap ambaye anaweza fika hata nusu ya fidq

LONDON BABY
Ni perception mkuu mimi nawajua waliomzidi hao wa nusu siwajui mfano joh makin,prof jay,afande sele (hata yeye alikiri) ,mr sugu ,ngwear etc
 
Back
Top Bottom