Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,051
- 12,954
Kama mnakumbuka mwaka 2013 kwenye kifo cha Mandela, serikali ya Afrika Kusini ilileta mtafasiri wa Lugha anaeitwa Thamsanqa Jantjie ambae alitia fora kwa ishara za lugha ambazo hazipo Duniani.
Mtafasiri huyo aliletwa na chama tawala cha ANC kutafsiri lugha ya alama kwa viziwi ambapo alitafsiri lugha kwa viongozi wote wakubwa waliozungumza siku hiyo akiwemo Obama.
Leo historia imejirudia huko Dodoma kwenye msiba wa Magufuli ambapo mtafasiri wa lugha ya KIingereza kwenda Kiswahili amekua akizungumza maneno ambayo hayajasemwa na wazungumzaji.
Mtafasiri huyo amekua akiwalisha maneno kwa lugha ya kiswahili wazungumzaji wa Kingereza.
Angalia huu ni mfano tu.
Mtafasiri huyo aliletwa na chama tawala cha ANC kutafsiri lugha ya alama kwa viziwi ambapo alitafsiri lugha kwa viongozi wote wakubwa waliozungumza siku hiyo akiwemo Obama.
Leo historia imejirudia huko Dodoma kwenye msiba wa Magufuli ambapo mtafasiri wa lugha ya KIingereza kwenda Kiswahili amekua akizungumza maneno ambayo hayajasemwa na wazungumzaji.
Mtafasiri huyo amekua akiwalisha maneno kwa lugha ya kiswahili wazungumzaji wa Kingereza.
Angalia huu ni mfano tu.