Leo tunafunga rasmi mjadala kwa Kukubaliana kuwa ni kweli kabisa Wanawake wote Kipaumbele chao kwa Wanaume ni Pesa na Maisha mazuri na siyo Mengineyo

Leo tunafunga rasmi mjadala kwa Kukubaliana kuwa ni kweli kabisa Wanawake wote Kipaumbele chao kwa Wanaume ni Pesa na Maisha mazuri na siyo Mengineyo

Akiwa mfanyakazi wa Redio Berlin Internation nchini Ujerumani, James Lembeli alikutana na binti wa Kijerumani, Birgit Lifka, wawili hawa wakaanzisha urafiki uliowapeleka kwenye uhusiano wa kimapenzi.

Kwa Lembeli uhusiano huo haukuwa wa kupoteza muda, aliamini kuwa mwanamke huyo ndiye atakayekuja kuwa mke wake na mama wa watoto wake kwa kuwa alishamridhia kwa shida na raha.

Wakati yeye akiwaza hivyo, mambo yalikuwa tofauti kwa Birgit, yeye alitaka uhakika wa maisha yake, hilo lilimfanya akatae kuja Tanzania kuishi na mwanamume huyo kwa kuwa hakuona hatima yake siku za usoni.

Katika mahojiano aliyofanya na gazeti hili, Lembeli anasimulia kisa hicho akikumbuka namna umaskini ulivyomfanya amkose mrembo huyo wa Kijerumani.

Mwanasiasa huyo mkongwe, mbunge wa zamani wa jimbo la Kahama mjini, anasema kutokuwa na kazi kuliharibu ndoto hiyo, ingawa baadaye alikuja kumpata mke wa maisha yake, Hawa Mchinja.

"Ni 'binti' mrembo wa Kimasai kutoka Arusha, alibadilisha maisha yangu kabisa, nilipomchumbia ikabidi nimwambie yule wa Ujerumani kwamba sasa nataka kuoa.

"Aliniandikia barua ya kurasa tisa, kilichoandikwa mule ni siri yangu," anasimulia Lembeli, katika mahojiano maalumu na Mwananchi yaliyofanyika Julai Mosi, jijini Dar es Salaam yakiangazia masuala mbalimbali ya kisiasa na kijamii.

Chanzo: mwananchi_official

Jidanganye tu hapo ulipo kuwa hata kama huna Hela basi Mwanamke atakupenda na kukuvumilia Maishani sawa?

Kudadadeki......!!
Huo ni uongo!! Tunawapenda nyie na pesa zenu.
 
Ukiwa huna pesa mbona hata mwaka unatoboa ila sabuni na mafuta ndani haviishi km mwanafunzi wa bweni 😹😹😹
Yaan nyie mnajuaga kama mtu hahangaiki na wadada bas sabuni na mafuta vinampa utelezi 😁sio kwel ile ni Kwa wale tuliopita uboyzn hamna namna ndo kidogo unapunguza up-wiru ila mtaani siyo kwel
 
Yaan nyie mnajuaga kama mtu hahangaiki na wadada bas sabuni na mafuta vinampa utelezi 😁sio kwel ile ni Kwa wale tuliopita uboyzn hamna namna ndo kidogo unapunguza up-wiru ila mtaani siyo kwel
Nyeto zote zimeanzia uboyzn mkitoka huko mkikosa mademu mnajilipua ilo liko wazi tunajua 😹😹😹
 
Nakubaliana na wewe, ukipendwa huna pesa amini unatumika kwa muda tu vinginevyo huyo mwanamke anaiona furure yenye mafanikio ndani yako hivyo pambana sana usimwangushe ukaishia kumlaumu badae.
 

Attachments

  • 255755501333_status_51a5b9cd6e664bbf8699d7cf66d8b5f3.mp4
    1.2 MB
Screenshot_20240414-205514_(1).png
we zombieeee..... Haujui..... S 2 kizzy baby....
 
Asante sana kwa kunialika hapa.

Wanachoangalia wanawake ni hela. Kwa ajiri ya pesa wanawake wanaweza kufanya chochote.Kwa ajiri ya pesa mwanamke anaweza akavumilia chochote.

M-cheat atamlaumu mchepuko wako, mpige atavumilia, mwambie mchepuko wako ana mimba atajiliza liza lakini hawezi kukuacha. Ukiwa na pesa mwanamke yupo tayari kuwa mtumwa wako. Women make rules for the broke and break rules for rich guys

Wanawake wote ni makahaba, wanajiuza na wananunulika ni suala la mwanaume kumudu bei tu.
👏👏
 
inategemeana na ntu na ntu, unasema mjerumani alimkataa kisa hana pesa lakini wakati huo huo mmsai amemkubali bila pesa, halafu unahitimisha kuwa wanawake wote wanataka pesa, ina maana Wamasai sio wanawake?
Pesa za mwanetu kwa mmasai ni ukwasi mkubwa sanaaa lakini kwa Mjerumani ni ufukara, hujaelewa nini hapo?
 
Wanaume bakini na pesa zenu na nyie msituombe hiko mnachotuomba mbona simple tyuu.!!
Kwann uumize kichwa na ubongo kwa vitu vya kijinga?? Eti mahi zetu nini mbaya?! 😹😹
Tukisema sisi wanaume tubaki na hela zetu afu nyie wanawake mbaki na mbususu zenu walahi nyie ndo mtakuwa wa Kwanza kutupa taulo na kusurrender
Kwa sababu mtateseka Sana😂
 
Back
Top Bottom