Leo tunafunga rasmi mjadala kwa Kukubaliana kuwa ni kweli kabisa Wanawake wote Kipaumbele chao kwa Wanaume ni Pesa na Maisha mazuri na siyo Mengineyo

Leo tunafunga rasmi mjadala kwa Kukubaliana kuwa ni kweli kabisa Wanawake wote Kipaumbele chao kwa Wanaume ni Pesa na Maisha mazuri na siyo Mengineyo

Okay, umeshajua yeye anataka pesa wewe kwake unataka nini??
Bora yake anajua atakacho, itakua mbaya kwako kama umejua anataka pesa na wewe hujui unataka nini, ama lah unataka kitu asichoweza kuoffer.

Mpe pesa akupe utakacho, kama hawezi huyo hakufai, na kama huwezi basi wewe pia humfai.
Mambo ni tot for tat...mbususu for ndalama 🤣🤣🤣🤣
 
Wanaume bakini na pesa zenu na nyie msituombe hiko mnachotuomba mbona simple tyuu.!!
Kwann uumize kichwa na ubongo kwa vitu vya kijinga?? Eti mahi zetu nini mbaya?! 😹😹

Au huenda kuna kijumba au vibanda anavipigia hesabu kuzani Mwanaume atatangulia kufa ili yeye awe mrithi.

Pengine kapiga hesabu akilianzisha la kuondoka itakuwa ngumu kugawana pasu to pasu sababu hajatoa hata 100 ya kujenga hivyo vijumba.
 
Asante sana kwa kunialika hapa.

Wanachoangalia wanawake ni hela. Kwa ajiri ya pesa wanawake wanaweza kufanya chochote.Kwa ajiri ya pesa mwanamke anaweza akavumilia chochote.

M-cheat atamlaumu mchepuko wako, mpige atavumilia, mwambie mchepuko wako ana mimba atajiliza liza lakini hawezi kukuacha. Ukiwa na pesa mwanamke yupo tayari kuwa mtumwa wako. Women make rules for the broke and break rules for rich guys

Wanawake wote ni makahaba, wanajiuza na wananunulika ni suala la mwanaume kumudu bei tu.
Mkuu umetisha sana huu ndo ukweli mchungu
 
Wanawake wameumbwa hivyo.

Mfano, Adamu alipoumbwa alimilikishwa kila kitu pale bustanini wakati huo Mwanamke alikuwa hajaumbwa bado.

Mwanamke alipoumbwa alimkuta Adam akiwa anamiliki kila kilichokuwemo bustanini.

Na hivyo ndivyo inavyopaswa kuwa kwetu sisi Wanaume kabla ya kuoa tunapaswa kuwa na uwezo wa kumtunza huyo mwanamke na watoto watakaozaliwa.

Mwanamke anayemkataa Mwanaume maskini hana makosa. Kiasili Wanawake ndivyo walivyo, wanavutiwa zaidi na Wanaume wenye uwezo wa kuwatunza.
 
Mimi nilivunjika sana Moyo baada ya kumsikia dada/mama mmoja tena kwa masikio yangu.
Aliongea wazi kwamba endapo mumewe akifa na amemuachia Nyumba,magari,vitega uchumi kama duka,shamba,kampuni..huyo mwanaume akifa,atajifanya kulia ili kuzuga tu mbele za waombolezaji wengine,kwakuwa ameshapata hitaji lake kuu la maisha yake.
Pia kuna mwingine nilimsikia akisema,"mimi mume wangu kama akinijengea nyumba,akanifungulia duka na kuninunulia gari,hata akitaka kwenda kuoa wake wengine wawili,aende tu!"
Wanawake lengo lao ni hela na kumkwamua kiuchumi tu,hawanaga Upendo kwetu.
 
Wanawake wameumbwa hivyo.

Mfano, Adamu alipoumbwa alimilikishwa kila kitu pale bustanini wakati huo Mwanamke alikuwa hajaumbwa bado.

Mwanamke alipoumbwa alimkuta Adam akiwa anamiliki kila kilichokuwemo bustanini.

Na hivyo ndivyo inavyopaswa kuwa kwetu sisi Wanaume kabla ya kuoa tunapaswa kuwa na uwezo wa kumtunza huyo mwanamke na watoto watakaozaliwa.

Mwanamke anayemkataa Mwanaume maskini hana makosa. Kiasili Wanawake ndivyo walivyo, wanavutiwa zaidi na Wanaume wenye uwezo wa kuwatunza.


Sio kweli.

Pendo la kweli la dhati ya moyo halipaswi kuwa na masharti.

Sema ni tamaa imezidi na hila.
 
Mimi nilivunjika sana Moyo baada ya kumsikia dada/mama mmoja tena kwa masikio yangu.
Aliongea wazi kwamba endapo mumewe akifa na amemuachia Nyumba,magari,vitega uchumi kama duka,shamba,kampuni..huyo mwanaume akifa,atajifanya kulia ili kuzuga tu mbele za waombolezaji wengine,kwakuwa ameshapata hitaji lake kuu la maisha yake.
Pia kuna mwingine nilimsikia akisema,"mimi mume wangu kama akinijengea nyumba,akanifungulia duka na kuninunulia gari,hata akitaka kwenda kuoa wake wengine wawili,aende tu!"
Wanawake lengo lao ni hela na kumkwamua kiuchumi tu,hawanaga Upendo kwetu.
Duu, noma sana
 
Sio kweli.

Pendo la kweli la dhati ya moyo halipaswi kuwa na masharti.

Sema ni tamaa imezidi na hila.
Kupenda, sijui, mapenzi ya dhati, hizi ni ngonjera tu.

Tafuta pesa mkuu, bila pesa utakula "mapenzi"?

Bila pesa utasomesha watoto shule kwa "mapenzi"?

Wanaume wenzangu tutafute pesa, ukiwa na "future" utaoa Mwanamke yeyote utakayemtaka.
 
Kupenda, sijui, mapenzi ya dhati, hizi ni ngonjera tu.

Tafuta pesa mkuu, bila pesa utakula "mapenzi"?

Bila pesa utasomesha watoto shule kwa "mapenzi"?

Wanaume wenzangu tutafute pesa, ukiwa na "future" utaoa Mwanamke yeyote utakayemtaka.

Kwamba wenye Pesa ndio wana guarantee ya kudumu kwenye mapenzi ?

Kufanya kazi na kujipatia riziki hiyo huwa given ni wala haina mjadala maana ni agizo kutoka vitabu vitakatifu.

Ninachopinga mimi ni ile dhana potofu na tamaa ya kuondoa upendo wa asili na kuweka tamaa na maslahi binafsi ya wanawake mbele.

Kumbuka Kwamba maisha saingine ni kama bahari ya Kiowa na kujaa,

Mwanamke anaekupendea Pesa siku zikikata atakutafutia visingizio akukimbie muchane.

Lakini mwenye upendo wa kweli atakuvumilia na kuwa nasubiri na kukutia
Moyo badała ya kukuongezea msongo wa mawazo.
 
Akiwa mfanyakazi wa Redio Berlin Internation nchini Ujerumani, James Lembeli alikutana na binti wa Kijerumani, Birgit Lifka, wawili hawa wakaanzisha urafiki uliowapeleka kwenye uhusiano wa kimapenzi.

Kwa Lembeli uhusiano huo haukuwa wa kupoteza muda, aliamini kuwa mwanamke huyo ndiye atakayekuja kuwa mke wake na mama wa watoto wake kwa kuwa alishamridhia kwa shida na raha.

Wakati yeye akiwaza hivyo, mambo yalikuwa tofauti kwa Birgit, yeye alitaka uhakika wa maisha yake, hilo lilimfanya akatae kuja Tanzania kuishi na mwanamume huyo kwa kuwa hakuona hatima yake siku za usoni.

Katika mahojiano aliyofanya na gazeti hili, Lembeli anasimulia kisa hicho akikumbuka namna umaskini ulivyomfanya amkose mrembo huyo wa Kijerumani.

Mwanasiasa huyo mkongwe, mbunge wa zamani wa jimbo la Kahama mjini, anasema kutokuwa na kazi kuliharibu ndoto hiyo, ingawa baadaye alikuja kumpata mke wa maisha yake, Hawa Mchinja.

"Ni 'binti' mrembo wa Kimasai kutoka Arusha, alibadilisha maisha yangu kabisa, nilipomchumbia ikabidi nimwambie yule wa Ujerumani kwamba sasa nataka kuoa.

"Aliniandikia barua ya kurasa tisa, kilichoandikwa mule ni siri yangu," anasimulia Lembeli, katika mahojiano maalumu na Mwananchi yaliyofanyika Julai Mosi, jijini Dar es Salaam yakiangazia masuala mbalimbali ya kisiasa na kijamii.

Chanzo: mwananchi_official

Jidanganye tu hapo ulipo kuwa hata kama huna Hela basi Mwanamke atakupenda na kukuvumilia Maishani sawa?

Kudadadeki......!!


Napenda maisha ya vijijini bado u-fake love haujatamalaki kwa sana.

Utakuta Mwanaume ni mkulima saingine anaweza kukosa hata mia ni kawaida ,
Ako na mitala na wanawake ndio wanaofanyakazi ( kulima) na shughuli za nyumbani na wanaheshimiana na kupendana.

Actually ndio asili ,
Hata mbughani Mkuu wa pori Simba kazi yake ni kutoa ulinzi wa familia tu na kusex.
Wafanyakazi na waleta mkate wa familia ni wake zake 👌👌
Na walivyo adabu wakipata mawindo hawali hadi mume wao amalize kula yeye kwanza akishamaliza ndipo watakuwa wakeze na watoto.
Ni nidhamu ya kiwango hii?!
Kuna funzo kubwa sana.
 
Back
Top Bottom