Kiabakari ipo Musoma mjini? acha kuzingua..Kiabakali mkuu..sijui ww
Hapo mwigobhelo kuna utalii wa kufa mtu, kuna mitumbwi, majahazi na zile mashine zinashusha bidhaa mbalimbali na abiria..Haya maeneo hujafafanua mkuu Kuna nn
Mkuu nina miaka 24 tangu nimalize kidato cha nne, sijarudi tena Musoma ndo maana naishia tu kutaja kata...hahaha..Mkuu hizo ni kata
Sijasema naishi mjini jombaa nna hela ya kuishi town? Kiabakali ni few kma to mjini jombaa!Kiabakari ipo Musoma mjini? acha kuzingua..
Ha ha ha wewe banaUpo musoma pande zipi mkuu ila Mimi sio wasiojulikana mkuu
Huko kiabakari nimekusikia nilivokua naenda musoma ,Tuambie Kuna vivutio gan mkuu....Sijasema naishi mjini jombaa nna hela ya kuishi town? Kiabakali ni few kma to mjini jombaa!
Ha ha ha achana na yule muhudum..mrefu wa kinyarwanda[emoji2][emoji2]Dream garden Wana Bei za kawaida tu ...reasonable ..mie nakaa zaidi dream garden..zingine zimedorora sana
Kwa hiyo hivo viwanja unahadithiwa, maana huna hela ya kuishi town..Sijasema naishi mjini jombaa nna hela ya kuishi town? Kiabakali ni few kma to mjini jombaa!
Level 8 is no more, wamehama kwa sasa wanapaita level 1, ipo mitaa ya kambarage.Kuna sehem inaitwa level 8 iko aposhinyanga mjini.....inafanana Sana na level 8 ya goldcrest mwanza...ni pazur kweli lakini kwa upande wa vinywaji....
Unakunywa huku unaangalia mji kwa juu...pana view nzuri
Ila sjawahigi kula hapo ....ila unaeza enda unaweza kuta msosi uko vizuri
Hapo kiabakari kuna ndizi za kufa mtu, bila kusahau nyanya na vitunguu..Huko kiabakari nimekusikia nilivokua naenda musoma ,Tuambie Kuna vivutio gan mkuu....
Hivi mzunguko wa pesa bado upo chini sana, nilifikiri hii miaka 24 pamebadilika sana kwamba nikirudi nitapotea..Nipo musoma ila njaa kali huu mji unatamani kuhama
Uko sehemu gan musoma....Nipo musoma ila njaa kali huu mji unatamani kuhama
Heehh ....so hapo level one n floor ya kwanzaa au ??Level 8 is no more, wamehama kwa sasa wanapaita level 1, ipo mitaa ya kambarage.
Dah! Watu wanasepa sana marafiki karibia wote hawapo nipo mimi ndo nakomaaUko sehemu gan musoma....
Mbona iyo njaa sijaiona
Mzunguko wa hela haupo tuseme upo chiniHivi mzunguko wa pesa bado upo chini sana, nilifikiri hii miaka 24 pamebadilika sana kwamba nikirudi nitapotea..
Hahaaa shinyanga aisee hapafai. Nilikuwa last week hapo kwasiku tatu, mayoo nilikoma. Ila Kuna kiwanja kipya kimeanzishwa ni kizuri Sana kinaitwa level one Kama skosei.Nilikuwa Singida Juzi Safi Maeneo Ya Kula Na Club Tele
Haa [emoji3][emoji16][emoji23] Niko Shinyanga Muda Huu Ndiyo Aibu Sehemu Nzuri Za Chakula Shida. Unayemuuliza Akikuelekeza Ukifika Oops!!! Hutataka Hata Kupaona Tena
Mlioko Shinyanga Nitajieni Viwanja
Waliokuwa wanaendesha biashara hapo level 8, ndio wameamia hapo kambarage maeneo ya karena hotel, ndio wamepaita level 1, ipo chini ila ni pazuri.Heehh ....so hapo level one n floor ya kwanzaa au ??
Iyo ya kambarage inaitwaje jina
Patakuwa pamemezwa na Mwanza, kama ilivyo kwa pwani na morogoro palivyomezwa na Dar. Angalau pangekuwa karibu na Arusha na Nairobi pangeweza kupata wawekezaji wa kutosha..Mzunguko wa hela haupo tuseme upo chini