Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Hellow
Leo hatupiki leo tunatoka out kidogo kusafisha macho
Kwanza nilianzia kanisani kubugujika kidogo
baada ya hapo nikawa nawaza kichwa kizito so niende sehemu ya karibu na hapa nikaona ni cape town sehemu yangu pendwa
Nikawa natuliza akili mm situmii pombe kabisa nikaagiza moctail
Baada ya muda sikumaliza kuna mwamba kaniharibia mood upo likizo unapigiwa simu likizo yako imeeisha na upo kimya ujarudi dah 🤣 nikaseap home
Leo hatupiki leo tunatoka out kidogo kusafisha macho
Kwanza nilianzia kanisani kubugujika kidogo
baada ya hapo nikawa nawaza kichwa kizito so niende sehemu ya karibu na hapa nikaona ni cape town sehemu yangu pendwa
Nikawa natuliza akili mm situmii pombe kabisa nikaagiza moctail
Baada ya muda sikumaliza kuna mwamba kaniharibia mood upo likizo unapigiwa simu likizo yako imeeisha na upo kimya ujarudi dah 🤣 nikaseap home