Leo tuwaenzi na kuwakumbuka wazazi wetu waliotangulia mbele za haki

Daah mwaka jana tarehe kama hizi ni siku ambazo mama yangu mzazi alikuwa amebakisha siku 17 tu duniani.. Kifo kinaumiza sanaa[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Pumzika kwa amani mama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…