Leo tuwatambue Wanyakyusa kwa majina yao

Leo tuwatambue Wanyakyusa kwa majina yao

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91]
Muke ya mzungu

Pokea Maua Yako[emoji253][emoji257][emoji255]


Kisa lilinipotea kabisa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngoja nitafute mzungu wa kueleweka, hilo jina la mke wa mzungu liko bomba sana
 
Udugu acha kamba sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwahalende ni sir wangu wa Field, na alikua ananipenda balaa. Uliza kwa wanyakii km mwahalende haipoo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwahalende ni sir wangu wa Field, na alikua ananipenda balaa. Uliza kwa wanyakii km mwahalende haipoo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sawa udugu ila sijawai kulisikia pamoja na kushinda na wanyakyusa
 
Lipoo bhanaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ko umbea hunipi tenaa?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] aah utanitoa roho udugu sio kwa kuforce huko
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] aah utanitoa roho udugu sio kwa kuforce huko
Uduguuu si utume chapuuu tyuuh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan ungeona jinsi nahaha na huo umbeaa, mbna ungetuma harakaa
 
Achana na umbea njoo tulewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nalewajee na umenichinjiaa mbalii, jana nilikuambiajeee??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwakanyelenge,
Anyandwile,
Mwambebule,
Anyimilile,
Mwakabonga,
Mwaihojo,
Atuganile,
Mwakasweswe,
Mwandumbya,
Mwandora,
Tusajigwe,
Tosigwegwe,
Msangarufu,
Gwantwa,
Mwapongo,
Mwamwenda,
Anyimike,
 
Uduguuu si utume chapuuu tyuuh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan ungeona jinsi nahaha na huo umbeaa, mbna ungetuma harakaa

Eeh huyu demu wake nani? Anipandisha midadi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mjep shem njoo umchukue mkeo atakufa kwa kutaka umbea wa watu huku
 
Back
Top Bottom