Leo tuzike rasmi mjadala 'Wanaume wa Dsm vs Wanaume wa mikoani'. Hawa wa mikoani wanajielewa kweli?

Leo tuzike rasmi mjadala 'Wanaume wa Dsm vs Wanaume wa mikoani'. Hawa wa mikoani wanajielewa kweli?

CCM Music

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2018
Posts
1,036
Reaction score
1,784
Dsm ndiko Rais anako chil, yaan yeye ni mwanaume wa DSM. Kwa ujumla safu yote ya uongozi wa kitaifa, kidini, kisiasa, kibishara, kimataifa wote wapo DSM. Sasa wa mikoani kweli mnajielewa?

Biashara zote kubwa kubwa kubwa zote zipo DSM. Wa mikoani mpo na utimamu kweli akilini kwenu?

Arusha ndiko biashara nyingi za utalii hufanyika, lakini DSM ndio kuna Bureau Changes nyingi kuliko huko. Wa mikoani tupo pamoja kweli?

Magari makali, nyumba kali zote DSM. Wa mikoani mnahesabu lakini?

Yaani, wa mikoani kitendo cha kula ugali dona basi hujiona mjanja sana kuliko wa DSM. Like serious?

Wanawake wakali, warembo wote wapo DSM. Mikoani mnahesabu lakini?

Zaidi ya 80% ya mzunguko wa pesa (money circulation) ipo DSM. Mikoani vipi huko kwenu?

Pesa zote yaani kama zote zinazoenda mikoani zinatoka DSM. Wa mikoani mnataka tusitishe? Hahahahaha

Vyuo vikuu vingi (yaani wasomi wengi wapo DSM). Wa mikoani mnasemaje?

Wanunuzi wa bidhaa toka kijijini ni wanaume wa DSM. Je, tukatae kununua? Eeehhhh?

Wa mikoani mnajua uwanja wa ndege Terminal 3 kweli? Aaaahhh mnazingua nyie.

Ok. Vipi Daraja la Nyerere aka Daraja la Kigamboni. Mnalifahamu kama lipo wapi?

Kwa leo naishia.

Enewei peace and love wakuu. Hapa ni chit chat dont take it personal....
 
umesahau wenye kutumia vumbi kwa wingi,waogopa panya road, wa kujichubua, michicha mwiba yote iko dar

unataja majengo na madaraja mara mzunguko wa pesa kuficha tatizo halisi uanaume wa dar uko kwenye matendo na kushindwa ile kitu sio madaraja wala ofisi.
 
Huu mjadala wa wanaume wa Dar Vs Mikoani hautahusisha mambo ya nchi kama uchumi, miundombinu nk.

Sifa za wanaume ndizo pekee zinazotakiwa hapa. Tukianza kutambiana kwenye mambo ya uchumi, miundombinu na mambo mengine tutawaambia tu kitu kimoja kwamba. SISI WANAUME WA MIKOANI NDIO TUNAWALISHA NYIE WANAUME WA DAR AMBAO KUTWA MNAKAA KWENYE VIOO KUPAKA MIDOMO YENU PIKO.
 
Dar kuna maskini wengi zaidi kuliko sehem yoyote ile.
Watu hawana mlo wa uhakika, Nyumba, na biashara za uhakika hawana.
Hela zinaishia kwenye dalaldala
 
Wanaume wa Dar:

*waoga wa mende.

*Sauti za 3 badala ya besi(sauti ya 4)

*Marioo(wapenda kulelewa na Wamama)

*Vibamia, tatuu, mateja.

*Domo zege

*Hawana makoromeo/Wambeya sana

*Wavaa vikuku, heleni, kata K, hujichubua.

*Wala chipsi mayai na kula kuku mataira.

Ujuaji mwingi kupita kiasi.

*Waoga wa panya road

*Wapiga punyeto, ma***ga.

*Wabetiji makungwi.

Wanaume wa mikoani:

*Kinyume chake na Wanaume wa Dar.

Niongeze sauti huko kwa back benchers?
 
Wanaume wa Dar:

*waoga wa mende.

*Sauti za 3 badala ya besi(sauti ya 4)

*Marioo(wapenda kulelewa na Wamama)

*Vibamia, tatuu, mateja.

*Domo zege

*Hawana makoromeo/Wambeya sana

*Wavaa vikuku, heleni, kata K, hujichubua.

*Wala chipsi mayai na kula kuku mataira.

Ujuaji mwingi kupita kiasi.

*Waoga wa panya road

*Wapiga punyeto, ma***ga.

*Wabetiji makungwi.

Wanaume wa mikoani:

*Kinyume chake na Wanaume wa Dar.

Niongeze sauti huko kwa back benchers?
Hii vita naifuatilia huku natupia tu popcorn mdomoni na pepsi baridiiiii.
 
Huyu mwanaume wa wapi?
IMG-20190925-WA0000.jpeg
 
Hivi hawa wa Mikoani nani kawaambia kuwa maisha anakaa dar,
Maana kila utakae muuliza umefuata nini dar? Anakwambia anatafuta maisha.
😕
 
Dar kuna maskini wengi zaidi kuliko sehem yoyote ile.
Watu hawana mlo wa uhakika, Nyumba, na biashara za uhakika hawana.
Hela zinaishia kwenye dalaldala
Sema pia, kuna wanaume.matajiri wengi zaidi kuliko pahala popote, hata marekani kuna maskini pia. Sema,pia dsm wanaume wana pesa zaidi kila siku kupanda daladala hawakosi nauli
 
@TheLobbyist, mkuu kile kikundi chako cha kigaidi cha siri kimeishiaga wapi?
 
@Santino, mkuu umenichekesha kwa sauti kumbe wanapakaga piko midomoni alafu mawaziri wengi kweli ni wanaume wa dar sijui wanakwama wapi?
 
Back
Top Bottom