Leo tuzike rasmi mjadala 'Wanaume wa Dsm vs Wanaume wa mikoani'. Hawa wa mikoani wanajielewa kweli?

Leo tuzike rasmi mjadala 'Wanaume wa Dsm vs Wanaume wa mikoani'. Hawa wa mikoani wanajielewa kweli?

Huu mjadala wa wanaume wa Dar Vs Mikoani hautahusisha mambo ya nchi kama uchumi, miundombinu nk.

Sifa za wanaume ndizo pekee zinazotakiwa hapa. Tukianza kutambiana kwenye mambo ya uchumi, miundombinu na mambo mengine tutawaambia tu kitu kimoja kwamba. SISI WANAUME WA MIKOANI NDIO TUNAWALISHA NYIE WANAUME WA DAR AMBAO KUTWA MNAKAA KWENYE VIOO KUPAKA MIDOMO YENU PIKO.
Mkuu toeni msanii wenu aje kufanya show dsm, hata kuku hawatahudhuria

Aya na sisi tunatoa msanii wetu aje huko mkoani kwenu kufanya show.., mtampapalikia na nusu.
Sisi wanaume wa dsm tukifika huko mkoani kwenu attention za dada zenu zote kwetu
Nyie Sasa mkija huku dsm hata nusu attention
Mkuu dsm iache Kama ilivyo
Dsm kila mwanaume ana kigezo
Ndo maana badaboda wa huku kwetu huwezi kukompea na wa huko

Nahitimisha

Ukiona mwanaume wa mkoani anaichukia dar ,basi Kuna sababu mbili za msingi

1: kafika ubungo siku ya kwanza kaibiwa kila kitu...
Huwezi kuipenda dsm kwa namna hiyo

2: mpenzi wake alienda dar kusalimia akamgomea kurudi..kakutana na watu wanaojua kupetipeti
Wauza sura wamemsifia kwamba Ni mzuri, alafu arudi kwako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Alafu dar hatunaga kujuana juana yaani Kama mkoani,
Dar kila mtu anamwona mwenzie mjanja
Hatuna dharau za kimkoa Kama baadhi ya mikoa, eti mgeni anajulikana

Dar hata ukiongea kilugha watu hawakuoneshi dharau
[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Wanaume wa Dar:

*waoga wa mende.

*Sauti za 3 badala ya besi(sauti ya 4)

*Marioo(wapenda kulelewa na Wamama)

*Vibamia, tatuu, mateja.

*Domo zege

*Hawana makoromeo/Wambeya sana

*Wavaa vikuku, heleni, kata K, hujichubua.

*Wala chipsi mayai na kula kuku mataira.

Ujuaji mwingi kupita kiasi.

*Waoga wa panya road

*Wapiga punyeto, ma***ga.

*Wabetiji makungwi.

Wanaume wa mikoani:

*Kinyume chake na Wanaume wa Dar.

Niongeze sauti huko kwa back benchers?
Kumbuka hata panya road Ni wanaume wa dsm
Swala la kula chips kweli tunapenda chips
Kwa sababu ndio chakula ambacho unakuwa na uhakika chanzo chake Ni viazi

Vilivyobakia vyaweza kuwa feki
 
um
Wanaume wa Dar:

*waoga wa mende.

*Sauti za 3 badala ya besi(sauti ya 4)

*Marioo(wapenda kulelewa na Wamama)

*Vibamia, tatuu, mateja.

*Domo zege

*Hawana makoromeo/Wambeya sana

*Wavaa vikuku, heleni, kata K, hujichubua.

*Wala chipsi mayai na kula kuku mataira.

Ujuaji mwingi kupita kiasi.

*Waoga wa panya road

*Wapiga punyeto, ma***ga.

*Wabetiji makungwi.

Wanaume wa mikoani:

*Kinyume chake na Wanaume wa Dar.

Niongeze sauti huko kwa back benchers?
etisha mla dona mwenzagu
 
umesahau wenye kutumia vumbi kwa wingi,waogopa panya road, wa kujichubua, michicha mwiba yote iko dar

unataja majengo na madaraja mara mzunguko wa pesa kuficha tatizo halisi uanaume wa dar uko kwenye matendo na kushindwa ile kitu sio madaraja wala ofisi.
Anajisahaulisha!
Mteja wa Sele Bonge analalama kuhusu dona...wa Dar bana
 
Huu mjadala wa wanaume wa Dar Vs Mikoani hautahusisha mambo ya nchi kama uchumi, miundombinu nk.

Sifa za wanaume ndizo pekee zinazotakiwa hapa. Tukianza kutambiana kwenye mambo ya uchumi, miundombinu na mambo mengine tutawaambia tu kitu kimoja kwamba. SISI WANAUME WA MIKOANI NDIO TUNAWALISHA NYIE WANAUME WA DAR AMBAO KUTWA MNAKAA KWENYE VIOO KUPAKA MIDOMO YENU PIKO.
Kupaka midomo piko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ligi za kipuuzi sana.... Tatizo jf asilimia 80 wakazi wa stupid place dsm...
 
Back
Top Bottom