Leo tuzike rasmi mjadala 'Wanaume wa Dsm vs Wanaume wa mikoani'. Hawa wa mikoani wanajielewa kweli?

Hio miundo mbinu, hayo mambo ya uchumi yameletwa na wanaume wa ki brazil? DSM ndio pahala penye wanaume haswaa.....akili mingi nguvu kidogo, pesa mingi km yote. Wa mikoani mkajipange upyaaaa
 
Umesahau Rais anatakiwa achil mkoani Dodoma au unajitoa fahamu,

Safu ya uongozi wa kitaifa, kidini, kibiashara, na kimataifa wako hapo kwakuwa ndio makao makuu, toka lini uliambiwa makao makuu ni mikoani umejitoa fahamu sio Huna pointi.

Biashara kubwa iko Dar kwakuwa ndio kuna bahari kuu na bandari kubwa ilijengwa hapo au unasemaje, hapa ulikosa utimamu wa kuelewa,

Bureau changes ziko nyingi dar kwakuwa kuna wageni wengi wanaokuja kufanya biashara zao na kupokea mizigo yao kutoka nje ya nchi si vinginevyo au hujaelewa na kukosa utimamu wa kuelewa,

Wafanya biashara wengi kupitia bandari ya dar wanaishi dar maana ni rahisi kupata mizigo yao na Wezi wengi wa pesa za serikali na matapeli wanao pata pesa kwa njia ya udanganyifu wapo wengi dar wakitembelea magari hayo makali na kujenga nyumba kali dar sijui kama utimamu wako hauja kujuza hivyo

Wa DSM mnaibiwa wake zenu kwa uzembe na kula chips kama wakike ndio maana mnakuwa mnapoteza sana nguvu za kuwamiliki wake zenu, mnakufa mapema kwa ukosefu wa akili, dona ndio chakula bora, hampo serious na maisha.

Hao wanawake wa kali na warembo ni ma changudoa wenye maradhi tu, ndio maana mnakufa mapema sana kwa kupalamia virusi, njoon mikoani mpate vitu adimu na fresh hesabu hilo.

Circulation ya pesa inategemea ni halali au sio halali, Benki kuu makao makuu ndio hutunza pesa zote za nchi na iko dar sijui huelewi hili lazima pesa itoke huko ije mkoani au ulitaka itoke wapi ambako hamna makao makuu ya benki kuu. Ebu akili yako sio timamu itulize kwanza ulifikirie hili,

Wasomi kama kina nani walio wengi wako dar? PhD nyingi za feki na maamuzi mengi yanayotolewa na walio na PhD feki yote yanatokea Dar sijawahi sikia kutoka mikoani. Jiongeze akili yako finyu sana fuatilia hili nadhali unalijua na unalielewa,

DSM hamna mashamba mashamba yapo mikoani sisi ndio wenye maamuzi ya kuwauzi au la ili tuwauwe na njaa tuone kama hamtalikimbia jiji. Tuliza akili dogo tukiamua tunawakwamisha halafu mkimbiwe na wanawake tuwachukue sisi ila wasiwe wagonjwa,

Toka muanze kununua bidhaa kama wanaume maana yake nini, mnaendeshwa kwa rimoti na wake zenu mmelishwa ma limbwata mmekuwa ma zezeta ndio maana mnahangaika kwenda sokoni wanaume mnatakiwa mmwagiwe maji ya ukoko wa ugali na dada zenu kwenye kona ili mzinduke sio ninyi.

Hivi karibuni serikali imedhamiria kujenga uwanja wa ndege terminal 4 kiwango cha zaidi ya terminal 3 ambayo hujawahi hata kuingia ndani sijui ujasiri wa kuitetea umeupata kupitia picha zinazo danganya,

Huku hatuna Bahari ambayo daraja lingeweza kujengwa sijui ulitakaje kwamba tuwe na daraja la nchi kavu kama hilo wakati hilo ni la juu ya bahari eti unajielewa kweli
 
Umeelezea vema sana.....sasa nikuulize. Kwa nini vitu soft vipo kwa wanaume wa dsm lkn vitu vigumu mfano mashamba yapo kwa wanaume wa mikoani? Mnakwama sana mazee!
 
Kwa hio uanaume wa mkoa unapigwa kwa uzinzi, uasherati, zinaa? Basi sawa, hapo wa mkoa mmeshinda. Wa dsm unapimwa kwa miundo mbinu, pesa, uchumi, elimu, nk hapa wa mikoani msithubutu nyie endeleeni na yenu sie huko hatupo
 
Umeelezea vema sana.....sasa nikuulize. Kwa nini vitu soft vipo kwa wanaume wa dsm lkn vitu vigumu mfano mashamba yapo kwa wanaume wa mikoani? Mnakwama sana mazee!
Soft ni kwa mwanamke tu sio kwa mwanaume, mwanaume akiwa na vitu soft huyo ana maumbile ya kike, na mwanaume wa dar ikifika saa 9 usiku au saa 8 hana usingizi tena umekata kabisa. Kipato chetu wa mikoani ni Mashamba na ndio utajiri wetu, wanaume wa dSM wakistaafu huwa wanadhoofika hadi umauti unawakuta kabla ya umri, habari ndio hiyo kumbe hukuwa unajua
 
NAKAZIA:

Dar pekee ndipo kila Mmasai ni Daktari bingwa wa mitishamba(madawa ya asili)[emoji3]
 

Dar es Salaam ndiyo Tanzania na Tanzania ni Dar es Salaam hata ' Washamba ' kama Waha, Wahaya na Wanyiramba wanalijua hilo vizuri sana tu.
 
Wanaume wa dar na ujanja wenu wote wanaume wa mkoani wakaja kushikilia jiji la dar/nchi.

1.Magu-Chato

2.Majaliwa-Lindi

3.Makonda-Koromije

Wanaume wa dar mmebaki kutembeza ukwaju wa azam tu kwny vile vibaiskeli,hahah.
 
Mjumbe sio makuku matahaira ni kuku vibudu yaani waliokwisha kufa ndio wanachinja.
 
Umesahau Serikaki kwa kulitambua hilo imeamua ihamie mkoani (Dodoma)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…