Huu mjadala wa wanaume wa Dar Vs Mikoani hautahusisha mambo ya nchi kama uchumi, miundombinu nk.
Sifa za wanaume ndizo pekee zinazotakiwa hapa. Tukianza kutambiana kwenye mambo ya uchumi, miundombinu na mambo mengine tutawaambia tu kitu kimoja kwamba. SISI WANAUME WA MIKOANI NDIO TUNAWALISHA NYIE WANAUME WA DAR AMBAO KUTWA MNAKAA KWENYE VIOO KUPAKA MIDOMO YENU PIKO.
Mkuu toeni msanii wenu aje kufanya show dsm, hata kuku hawatahudhuria
Aya na sisi tunatoa msanii wetu aje huko mkoani kwenu kufanya show.., mtampapalikia na nusu.
Sisi wanaume wa dsm tukifika huko mkoani kwenu attention za dada zenu zote kwetu
Nyie Sasa mkija huku dsm hata nusu attention
Mkuu dsm iache Kama ilivyo
Dsm kila mwanaume ana kigezo
Ndo maana badaboda wa huku kwetu huwezi kukompea na wa huko
Nahitimisha
Ukiona mwanaume wa mkoani anaichukia dar ,basi Kuna sababu mbili za msingi
1: kafika ubungo siku ya kwanza kaibiwa kila kitu...
Huwezi kuipenda dsm kwa namna hiyo
2: mpenzi wake alienda dar kusalimia akamgomea kurudi..kakutana na watu wanaojua kupetipeti
Wauza sura wamemsifia kwamba Ni mzuri, alafu arudi kwako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Alafu dar hatunaga kujuana juana yaani Kama mkoani,
Dar kila mtu anamwona mwenzie mjanja
Hatuna dharau za kimkoa Kama baadhi ya mikoa, eti mgeni anajulikana
Dar hata ukiongea kilugha watu hawakuoneshi dharau
[emoji1][emoji1][emoji1]