Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Swalamaah [emoji1538]
Leo siku imepita kesho pia itaitwa leo ikifika.
Wahenga walisema "Muungwana ni vitendo" je na wewe ni muungwanaa!?
Utajuaje kama wewe ni miongoni mwa jamii ya waungwa?, embu jiulize na hata utuambie leo umesema neno 'asante' mara ngapi?
Mimi sikumbuki nimelisema hili neno mara ngapi ila kwa haraka haraka tu, nilipoamla nimesema 'asante Mungu' nikiwa mishe mishe mchana nilienda kula nikamshukuru yule mhudumu 'asante kwa chakula' nkatoka hapo nikapitia vocha nkasema 'asante' baada ya kupewa vocha na chenchi yangu.
Huyoo hadi nyumbani nimepokewa nmeambiwa pole nkajibu 'Asante'
Wewe je muungwana??
Ila kuna siku nilimwambia mtu 'asante' akanijibu "kwani nimekupa chakula" nilimshangaa nikaishia kumjibu 'asante' huyoo nikaondoka zangu.
Wewe je muungwana umewahi kutana na watu hawa??
Asanteni!.
Leo siku imepita kesho pia itaitwa leo ikifika.
Wahenga walisema "Muungwana ni vitendo" je na wewe ni muungwanaa!?
Utajuaje kama wewe ni miongoni mwa jamii ya waungwa?, embu jiulize na hata utuambie leo umesema neno 'asante' mara ngapi?
Mimi sikumbuki nimelisema hili neno mara ngapi ila kwa haraka haraka tu, nilipoamla nimesema 'asante Mungu' nikiwa mishe mishe mchana nilienda kula nikamshukuru yule mhudumu 'asante kwa chakula' nkatoka hapo nikapitia vocha nkasema 'asante' baada ya kupewa vocha na chenchi yangu.
Huyoo hadi nyumbani nimepokewa nmeambiwa pole nkajibu 'Asante'
Wewe je muungwana??
Ila kuna siku nilimwambia mtu 'asante' akanijibu "kwani nimekupa chakula" nilimshangaa nikaishia kumjibu 'asante' huyoo nikaondoka zangu.
Wewe je muungwana umewahi kutana na watu hawa??
Asanteni!.