Nasikia TSH imeimarika nimeambiwa exchange rate ya leo 1USD=2050TSH, kwani kale kamkopo ka dola mil 800 kamesha patikana? wahenga walisema ukimwona kobe juu ya mti ujue kawekwa...Siamini kama kuimarika huku ni matokeo ya kuimarika kwa foreign export etc...all in all hongera sana BOT kwa kutupunguzia maumivu
Hiyo 2301 wapi?[/QUOTE]Nyoooh !! ni 2,301 .
Nasikia TSH imeimarika nimeambiwa exchange rate ya leo 1USD=2050TSH, kwani kale kamkopo ka dola mil 800 kamesha patikana? Wahenga walisema ukimwona kobe juu ya mti ujue kawekwa. Siamini kama kuimarika huku ni matokeo ya kuimarika kwa foreign export etc, all in all hongera sana BOT kwa kutupunguzia maumivu
Iwe mvua mnasema mafuriko ikiwa jua et njaa...hiv watanzania tukoje??? Kuwen walau na hata chembe ya uzalendo ns kujali juhud zinazofanywa
Au kwa kuwa mlijiandaa iwe kiki na ajenda ya kutokea so mnaona inaanza kukwama?? Yan mahaba CDM niue ysnawatesa sana
Nasikia TSH imeimarika nimeambiwa exchange rate ya leo 1USD=2050TSH, kwani kale kamkopo ka dola mil 800 kamesha patikana? Wahenga walisema ukimwona kobe juu ya mti ujue kawekwa. Siamini kama kuimarika huku ni matokeo ya kuimarika kwa foreign export etc, all in all hongera sana BOT kwa kutupunguzia maumivu
Nasikia TSH imeimarika nimeambiwa exchange rate ya leo 1USD=2050TSH, kwani kale kamkopo ka dola mil 800 kamesha patikana? Wahenga walisema ukimwona kobe juu ya mti ujue kawekwa. Siamini kama kuimarika huku ni matokeo ya kuimarika kwa foreign export etc, all in all hongera sana BOT kwa kutupunguzia maumivu